Allah ni zaidi ya sayansi, watu wawili umeokolewa baada ya siku 13

Hapa kinacho kutesa ni neno "Allah" na kuanza ku-reason kama mtoto wa chekechea, utakonda bure achana na Allah.
Mkuu ebu tujuze zaidi kuhusu huyu mungu mwenye jina la kiarabu maana namuona yupo tofauti na mungu yesu mwenye jina la kiyahudi.
 
Acha uongo na kubishana na Sayanzi hujui umecho kiandika hapo umimaanisha nini? Labda huko chini walikua wanakula matunda na mikate wajuaje?
Mkuu unadhani au unaushahidi wewe utaweza kula kwenye kifusi kweli au unabisha tu ili mradi.
 
Mkuu unadhani au unaushahidi wewe utaweza kula kwenye kifusi kweli au unabisha tu ili mradi.
Kwani panya anawezaje binadamu anashindwaje?, hujashuhudia watu wanafunikwa na vifusi migodini na wanatoka wazima, kikubwa hewa na chakula wengi hufa kwa kukosa hewa na kufunikwa sehemu mbaya, sio kila kitu unakimbilia Allah kafanya hivi Allah kafanya vile

R aI P Christian Atsu
 
Kwani ni allah, God, Mungu, Yahwe, Yehova au nani?Maana hizi slogan zinachosha.
 
Mkuu hata ueleweki unacho sisitiza kwa kweli ushahidi upi unataka tena watu wanekutwa wa kiwa hai, baada ya siku 13 huo ni uwezo wa Allah, wewe leta ushahidi kwamba walipo wakutwa kulikua na firiji iliosheheni vyakula.
Sikiliza interview yao
 
Nimepata shida sana kuchagua either ni-like au ni-ignore hii statement yako. Na yote kwa kuwa mie ni muislam tena nina imani.

Lakini nmejikuta nguvu ya ku-like imekuwa kubwa zaidi. Huwezi kutetea na kuonyesha umwamba kisa watu wawili waliopona na wakati wameteketea maelfu. (Astaghafirullah)
bora wewe unaquestion kwa ubongo wako hukurupuki
 
Kwani allah, God, Mungu, Yahwe, Yehova au nani?Maana hizi slogan zinachosha.
Ni Buddha maana dini zote za Christian na Islam mfumo wa Meditation zimecopy huko ukianzia Tasbihi (Islam) na Rozari (Christian) ni Imani za Buddha
 
Ni Buddha maana dini zote za Christian na Islam mfumo wa Meditation zimecopy huko ukianzia Tasbihi (Islam) na Rozari (Christian) ni Imani za Buddha
Nimeelewa kwa upana, kwa hiyo mingine ni mitunisho ya misuli iso maana.
 
Mkuu wewe ni msomi sitegemee uwe na mhemko kuhusu hili naomba uelewa theme ya mada, sio idadi ya walio kufa hapana, inahusu how sayansi has been proved wrong....
Kwa hio Allah alileta tetemeko ili ku peove wrong science?
 
Allah angekuwapo, kusingekuwa na tetemeko na watu 46,000 wasingekufa.

Unashangilia vipi watu wawili kuokolewa wakati watu 46,000 wamekufa na kitu ndiyo kwanza kinapiga upya huko Syria?

Watu 46,000 wamekufa, na idadi ya waliofariki inazidi kupanda siku hadi siku.

Wewe unashangilia Allah kaokoa watu wawili?
Kuna majitu mapumbavu sana. Yani sijui huwa yanatumia nini kufikiria. Allah hawezi kusifiwa kwa kuokoa hata nusu mtu, angesifiwa kwa kutoleta matetemeko in the first place
 
Kuna majitu mapumbavu sana. Yani sijui huwa yanatumia nini kufikiria. Allah hawezi kusifiwa kwa kuokoa hata nusu mtu, angesifiwa kwa kutoleta matetemeko in the first place
Mtu alierogwa na uchawi wa kiarabu hawezi kukuelewa bro bora unyamaze
 
Back
Top Bottom