Taarifa zilizopatika hivi punde mjini Dodoma,ingawa bado hazijathibitishwa rasmi, zinaeleza kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya kuzuia na kupambambana na Rushwa,Bw.Hosea pichani juu amejiuzulu,aidha taarifa hizo zinaeleza kuwa Mkurugenzi huyu alijiuzulu jana usiku na kwamba anasubiri ridhaa ya Rais.Mpaka sasa Bw Hosea anakuwa mtu wa nne kujiuzulu kufuatia sakata zima la Richmond.
Source: http://www.michuzijr.blogspot.com/
Habari za Hosea kujiuzulu zimeshathibitishwa?