Ogah,
Labda hujanielewa vizuri na pengine unachanganya sheria zetu na huko nje..
WHEN, WHERE, WHAT, WHO, WHY and HOW ni kazi aliyoifanya isipokuwa hakuona charges zozote zinazohusiana na Rushwa hata kama kulikuwa na utata wa mkataba wenyewe. Kama vile tunavyoona Mkataba wa Buzwagi hata waziri mkuu wa Canada ameshindwa kutusaidia kwa sababu anafungwa na sheria za nchi yake.
Kifupi ni hivi deal lote la Richmond kupelekwa Takuru ilikuwa kuficha ukweli na kama sikosei Lowassa alikuwa mbele sana kujibu hoja na kusema tusubiri. Hivyo basi JK, Lowassa na viongozi wengi ngazi za juu wote walifahamu kilichotendeka bila hata uchunguzi wa Hosea.
Kitu ambacho hawakuelewa ni kwamba wananchi na hasa wagazeti yetu pamoja na hapa JF ndio tulioshinikiza uchunguzi zaidi na pengine hata Mzee Six kukosa boya la kuelea bungeni ikabidi kamati nyingine iundwe.
Hawa walipewa madaraka zaidi nje ya sheria ziizokwisha pitishwa ikiwa ni pamoja na access ya upana wa hujuma hizi. Nitashangaa sana ikiwa kweli tunaamini Hosea ajiuzuru hali yeye aliambiwa atafute kile alichotakiwa kukitafuta... Rushwa, mengine yote ni matokeo ya nguvu zenu wananchi kumshikia bango JK hadi kakubali swala hili.
Kama alivyosema mwenyewe nia yake ilikuwa kubadilisha baraza la Mawaziri toka November 2007 hii ina maana alijua kuna maovu yanatendeka. Huwezi badili baraza la mawaziri bila sababu na imekiri kuwa sakata la Richmond ndilo limemlazimu kuharakisha.
So he knew about Meghji, Karamagi na scandal nyinginezo zote kabla kabisa ya uchunguzi wa kamati teule ya bunge.
Still he could have stopped kupelekwa bungeni kabla ya Bush kuingia nchini...
Jamani tusiwe wajinga Hosea ni mlinzi mlangoni ambaye anajua kila kinachoendelea ndani ya nyumba ya bwana.
Labda hujanielewa vizuri na pengine unachanganya sheria zetu na huko nje..
WHEN, WHERE, WHAT, WHO, WHY and HOW ni kazi aliyoifanya isipokuwa hakuona charges zozote zinazohusiana na Rushwa hata kama kulikuwa na utata wa mkataba wenyewe. Kama vile tunavyoona Mkataba wa Buzwagi hata waziri mkuu wa Canada ameshindwa kutusaidia kwa sababu anafungwa na sheria za nchi yake.
Kifupi ni hivi deal lote la Richmond kupelekwa Takuru ilikuwa kuficha ukweli na kama sikosei Lowassa alikuwa mbele sana kujibu hoja na kusema tusubiri. Hivyo basi JK, Lowassa na viongozi wengi ngazi za juu wote walifahamu kilichotendeka bila hata uchunguzi wa Hosea.
Kitu ambacho hawakuelewa ni kwamba wananchi na hasa wagazeti yetu pamoja na hapa JF ndio tulioshinikiza uchunguzi zaidi na pengine hata Mzee Six kukosa boya la kuelea bungeni ikabidi kamati nyingine iundwe.
Hawa walipewa madaraka zaidi nje ya sheria ziizokwisha pitishwa ikiwa ni pamoja na access ya upana wa hujuma hizi. Nitashangaa sana ikiwa kweli tunaamini Hosea ajiuzuru hali yeye aliambiwa atafute kile alichotakiwa kukitafuta... Rushwa, mengine yote ni matokeo ya nguvu zenu wananchi kumshikia bango JK hadi kakubali swala hili.
Kama alivyosema mwenyewe nia yake ilikuwa kubadilisha baraza la Mawaziri toka November 2007 hii ina maana alijua kuna maovu yanatendeka. Huwezi badili baraza la mawaziri bila sababu na imekiri kuwa sakata la Richmond ndilo limemlazimu kuharakisha.
So he knew about Meghji, Karamagi na scandal nyinginezo zote kabla kabisa ya uchunguzi wa kamati teule ya bunge.
Still he could have stopped kupelekwa bungeni kabla ya Bush kuingia nchini...
Jamani tusiwe wajinga Hosea ni mlinzi mlangoni ambaye anajua kila kinachoendelea ndani ya nyumba ya bwana.