January Makamba ndo nani?
Nimepitia website ya january makamba sijaona orodha ya mambo aliyoyafanya Bumbuli katika kutekeleza ahadi alizozitoa
website ya Bumbuli hii hapa
Bumbuli Development Corporation... Coming Soon!
ukiingia unaambiwa utatumiwa e-mail ya maendeleo lakini so far ni mwaka mzima hakuna kitu chochote
Sasa kwa mbunge ambaye anapatikana kwenye mitandao hatupatii ripoti ya maendeleo kama alivyofanya Marehem Regia Mtema au Mbunge wa Singida ndugu Mo Dewji
January tunaomba uje utuambie umeshafanya nini Bumbuli toka uchaguliwe?
1..Amesaidia kuimarika kwa migogoro ya wakulima wa chai(smallholders) vs wenye viwanda vya kusindika(processors) na vyama vya wakulima wa chai vs processors..Kwa hilo nampa pongezi yaani amekata mguu kabisa kutokana na kushindwa kutimiza ahadi zake za utatuzi:
-Ikiwamo kuwasaidia wakulima wadogo kumiliki hisa zaidi ya 50% ya Mponde Tea Factory ili waweze kuwa na sauti katika upangaji wa bei ya Green Leaf.
-Kuwawezesha wamiliki mini-processing, facilities,packing & blending factories ili waweze kupata faida zaidi kukamilisha the whole value chain.
2..Ukija kwenye upande wa barabara unaweza kulia machozi kwani terrain ya kule ni milima kwenda mbele sasa usiombe mvua ikukute kule juu Bumbuli wakati wewe una mpango wa kurudi kulala Soni au Lushoto mjini.Lazima uombe hifadhi kwani barabara hazipitiki unless you have a death wish..
3..Amesaidia kuwepo na bendera,khanga,kofia na scarf nyingi za CCM.Yaani evergreen ya Chama imetapakaa kule juu na chombezo la njano kwa mbali.Bendera zapepea kwenye mashina na nyumba za wabunge wengi wakiwa wamejenga vile vigorofa vya jadi.People are in smiles waiting to line up for the next election.
Nimepitia website ya january makamba sijaona orodha ya mambo aliyoyafanya Bumbuli katika kutekeleza ahadi alizozitoa
website ya Bumbuli hii hapa
Bumbuli Development Corporation... Coming Soon!
ukiingia unaambiwa utatumiwa e-mail ya maendeleo lakini so far ni mwaka mzima hakuna kitu chochote
Sasa kwa mbunge ambaye anapatikana kwenye mitandao hatupatii ripoti ya maendeleo kama alivyofanya Marehem Regia Mtema au Mbunge wa Singida ndugu Mo Dewji
January tunaomba uje utuambie umeshafanya nini Bumbuli toka uchaguliwe?
Nimepitia website ya january makamba sijaona orodha ya mambo aliyoyafanya Bumbuli katika kutekeleza ahadi alizozitoa
website ya Bumbuli hii hapa
Bumbuli Development Corporation... Coming Soon!
ukiingia unaambiwa utatumiwa e-mail ya maendeleo lakini so far ni mwaka mzima hakuna kitu chochote
Sasa kwa mbunge ambaye anapatikana kwenye mitandao hatupatii ripoti ya maendeleo kama alivyofanya Marehem Regia Mtema au Mbunge wa Singida ndugu Mo Dewji
January tunaomba uje utuambie umeshafanya nini Bumbuli toka uchaguliwe?
JANUARI MAKAMBA NI NANi??
January Makamba ni member wa JF? Na kama siyo, basi ndiyo muda muafaka kuyaleta hapa hayo mafanikio yake ili achangiwe na Great thinkers kwa ajili ya manufaa ya kwake na wapiga kura wake!
Hii mods wataiondoa muda si mrefu i guess maana januari sijui ana ushawishi gani humu,tusubiri tuone kama wataniprove wrong..
Nilitaka kusema waacheni wananchi wa Bumbuli waamue.
Nikakumbuka.
January Makamba ni mbunge wa CCM, si mbunge wa Bumbuli, hakuna mwananchi wa Bumbuli hata mmoja aliyempigia kura, atakuwaje mbunge wa Bumbuli?
Na kuna wananchi wengine tunaweza kusema January hata si mbunge kikatiba, kwani hakuainishwa katika katiba.