FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,079
- 40,733
Hivi kuna faida gani kutumia bilioni 300 kujenga Ubungo flyover ili kuondoa foleni halafu tunakuja kuruhusu kituo cha daladala mdomoni kabisa mwa flyover ambapo gari ndio zinaingilia?
Kitendo cha daladala kuingia na kutoka kwenye kituo hiki inasababisha magari kushindwa kabisa kuflow kama inavyopaswa, maana mengine hushusha na kupakia katikati ya barabara kutokana na kukosa nafasi kituoni.
Hii inaleta foleni kali sana kuanzia external hasa siku zenye malori mengi, unakuta mbele kwenye flyover ni kweupe hadi Mwenge, ila kurudi nyuma hadi Mwananchi kuna foleni kali!
Huko Mirembe hakuna ulinzi wa kutosha?!
Kitendo cha daladala kuingia na kutoka kwenye kituo hiki inasababisha magari kushindwa kabisa kuflow kama inavyopaswa, maana mengine hushusha na kupakia katikati ya barabara kutokana na kukosa nafasi kituoni.
Hii inaleta foleni kali sana kuanzia external hasa siku zenye malori mengi, unakuta mbele kwenye flyover ni kweupe hadi Mwenge, ila kurudi nyuma hadi Mwananchi kuna foleni kali!
Huko Mirembe hakuna ulinzi wa kutosha?!