Aliyemleta Fredy Michael akamatwe mara moja

vvvv

JF-Expert Member
Apr 12, 2018
335
547
1709754358562.png

Huu ni utapeli wa wazi,wachezaji wa aina ile hata wa ndani wapo na hawezi kusajiliwa na timu zingine ndogo.

Wanaosajili Simba wanafaa wawe nyuma ya nondo sahizi kwa utapeli wa wazi.
 
Back
Top Bottom