Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,260
- 4,132
Hilo najua, nilitaka taarifa zaidi…
Hata hivyo asante.
Taarifa zaidi unataka kupeleka wapi ?
Hilo najua, nilitaka taarifa zaidi…
Hata hivyo asante.
Balozi Raphael Lukindo, balozi old school kichizi. Mpaka Nyerere ilikuwa anataka sana kumsikiliza.
Balozi alikuwa kapewa kazi kufungua ubalozi wa Italy, baada ya miaka michache akaomba kurudi Tanzania akafanye kazi vijijini. Mpaka Nyerere mwenyewe akashangaa. Baadaye alimfanya kuwa mkuu wa Itifaki.
Balozi Lukindo alimpinga Waziri Mkuu Sokoine kwa point, halafu Sokoine akalazimisha hoja kwa kuwa yeye Waziri Mkuu. Baadaye ikaonekana Balozi Lukindo alikuwa sawa na alivyoonya points zake zimekuwa vile vile.
Nikikumbuka washua kama hawa waliokuwa na uzalendo na principles halafu nikilinganisha na viongozi wapigaji wa leo, nasikitika sana.
Jambo gani ambalo litaweza kukufurahisha wewe? Lina vipimo gani vya kukufurahisha wewe tulitafute?
Maana nisije kukutajia mambo kemkem kumbe wewe kivuruge tu nia yako kuwa negative kwa kila kitu.
😂😂😂😂😂....Makonda atafika Kigoma? Kuna kesi za kumaliza kule😂😂😂😂duuu...... umepeleka mashitaka kwa member mwingine kutafuta sympathy ?
hahahahahaaaaa
mmezoea kutudanganya na ma historia ya uongo na uchawa kuhusu viongozi wa nchi hii.
Balozi karudi nyumbani 1995, ana masifa kibao ya udiplomasia nguli sijui OAU huko. Hapa nyumani tuna masaibu na madhila kibao yanayohitaji intervention ya elder statesman lakini kajifungia kimya tuliii, hawajalli kutatua hata mgogoro wa shamba la jirani. Ungedhani hawa ndio watusemee pale polisi wanapohujumu uchaguzi, TANAPA wakiua wanavijiji, usalama wakiteka raia, kwa uzito walio nao mbele ya mamlaka za nchi.... lakini wapi, zip, nothing, good for nothing....
I mean, give the devil his due, Paul Makonda katatua matatizo mengi ya migogoro ya ardhi kuliko migogoro yote iliyotatuliwa na mabalozi wote combined!
Makini na mzalendo na balozi mkongwe, give me a freaking break, mzalendo kwa lipi ????????
Waliomlinda Magufuli walikuwa wasukuma? Ingawa wasukuma walijipa hadhi ya urais wakati Rais alikuwa mmoja tu😂😂😂😂😂Angekuwa Magufuli mlinzi wake angekuwa msukuma
M au?
Kwetu ukisema Mzee wa munga unamaanisha mtu anaye puliza tumbaku na mazao mengine ambayo moshi wake ni bidhaa! AhahahaMunga?
Kumwambia Nyerere naacha kazi narudi Kijiji kwa sababu sikubaliani na serikali yako ni zaidi ya maandamano yote ya chadema, hivi mnamjua Nyerere, ni sawa na kumwambia Putin, Mao, Castro au mapanki wa Korea eti narudi Kijijini, kimsingi yeye ataelewa unasema narudi kaburini, tena na familia yakoEti ' Nyerere nataka kurudi kijijini' 😀😀😀 .
Lisu alisema aliondoka na covid 19 😆😆Yupo, nyumba za mawaziri karibu na CRDB Mikocheni
Sio kweliLisu alisema aliondoka na covid 19 😆😆
Juni Mwaka juzi, 2022 mlinzi mwingine wa Jakaya Kikwete alifariki dunia.Ukishaanza kuona walinzi wako wanaanza kukata moto, nawe Anza kujiandaa kisaikologia.
Mi hiyo kauli imenifurahisha tu .Sijali kama alikuwa anaogepeka au haogopeki.Kumwambia Nyerere naacha kazi narudi Kijiji kwa sababu sikubaliani na serikali yako ni zaidi ya maandamano yote ya chadema, hivi mnamjua Nyerere, ni sawa na kumwambia Putin, Mao, Castro au mapanki wa Korea eti narudi Kijijini, kimsingi yeye ataelewa unasema narudi kaburini, tena na familia yako
Haya mambo ya kijinga na upumbavu.Hayana maana yoyoteNa vp kuhusu mabikra 72 wakiwa ahera??
Kuna yule R.Lukindo slikuwaga balozi Japan yule mzee alikuwa mtu poa sana sema naye (RIP)
Ova
Balozi Raphael Lukindo, balozi old school kichizi. Mpaka Nyerere ilikuwa anataka sana kumsikiliza.
Balozi alikuwa kapewa kazi kufungua ubalozi wa Italy, baada ya miaka michache akaomba kurudi Tanzania akafanye kazi vijijini. Mpaka Nyerere mwenyewe akashangaa. Baadaye alimfanya kuwa mkuu wa Itifaki.
Balozi Lukindo alimpinga Waziri Mkuu Sokoine kwa point, halafu Sokoine akalazimisha hoja kwa kuwa yeye Waziri Mkuu. Baadaye ikaonekana Balozi Lukindo alikuwa sawa na alivyoonya points zake zimekuwa vile vile.
Nikikumbuka washua kama hawa waliokuwa na uzalendo na principles halafu nikilinganisha na viongozi wapigaji wa leo, nasikitika sana.
Mlinzi mkuu alikuwa Ben MashibaHuyu hakuwa mlinzi mkuu. Mlinzi mkuu yupo ambaye wote ureport kwake. Alipewaga ubalozi.