TANZIA Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo afariki Dunia

Dah huy bro nilikua namkubali sana nilikua nakunywa nae rombo green view...na wenzake wa idara....hakua na shida labda kwenye kazi yake!
 
Balozi Raphael Lukindo, balozi old school kichizi. Mpaka Nyerere ilikuwa anataka sana kumsikiliza.

Balozi alikuwa kapewa kazi kufungua ubalozi wa Italy, baada ya miaka michache akaomba kurudi Tanzania akafanye kazi vijijini. Mpaka Nyerere mwenyewe akashangaa. Baadaye alimfanya kuwa mkuu wa Itifaki.

Balozi Lukindo alimpinga Waziri Mkuu Sokoine kwa point, halafu Sokoine akalazimisha hoja kwa kuwa yeye Waziri Mkuu. Baadaye ikaonekana Balozi Lukindo alikuwa sawa na alivyoonya points zake zimekuwa vile vile.

Nikikumbuka washua kama hawa waliokuwa na uzalendo na principles halafu nikilinganisha na viongozi wapigaji wa leo, nasikitika sana.

Sifa ya viongozi wa leo ni kupiga deal halafu kuongea uongo.
Sijui wanafikiri wanamdanganya nani!

Unafiki mtupu
 
Jambo gani ambalo litaweza kukufurahisha wewe? Lina vipimo gani vya kukufurahisha wewe tulitafute?

Maana nisije kukutajia mambo kemkem kumbe wewe kivuruge tu nia yako kuwa negative kwa kila kitu.

Watu wabishi wasiojua kitu kama huyo jamaa ni kumpeleka Kigoma wakati wanafanya zoezi la kamchape....wambandike kesi ya uchawi ndio ataelewa uzalendo maana yake nini
 
duuu...... umepeleka mashitaka kwa member mwingine kutafuta sympathy ?
hahahahahaaaaa

mmezoea kutudanganya na ma historia ya uongo na uchawa kuhusu viongozi wa nchi hii.

Balozi karudi nyumbani 1995, ana masifa kibao ya udiplomasia nguli sijui OAU huko. Hapa nyumani tuna masaibu na madhila kibao yanayohitaji intervention ya elder statesman lakini kajifungia kimya tuliii, hawajalli kutatua hata mgogoro wa shamba la jirani. Ungedhani hawa ndio watusemee pale polisi wanapohujumu uchaguzi, TANAPA wakiua wanavijiji, usalama wakiteka raia, kwa uzito walio nao mbele ya mamlaka za nchi.... lakini wapi, zip, nothing, good for nothing....

I mean, give the devil his due, Paul Makonda katatua matatizo mengi ya migogoro ya ardhi kuliko migogoro yote iliyotatuliwa na mabalozi wote combined!

Makini na mzalendo na balozi mkongwe, give me a freaking break, mzalendo kwa lipi ????????
😂😂😂😂😂....Makonda atafika Kigoma? Kuna kesi za kumaliza kule😂😂😂😂
 
Eti ' Nyerere nataka kurudi kijijini' 😀😀😀 .
Kumwambia Nyerere naacha kazi narudi Kijiji kwa sababu sikubaliani na serikali yako ni zaidi ya maandamano yote ya chadema, hivi mnamjua Nyerere, ni sawa na kumwambia Putin, Mao, Castro au mapanki wa Korea eti narudi Kijijini, kimsingi yeye ataelewa unasema narudi kaburini, tena na familia yako
 
Ukishaanza kuona walinzi wako wanaanza kukata moto, nawe Anza kujiandaa kisaikologia.
Juni Mwaka juzi, 2022 mlinzi mwingine wa Jakaya Kikwete alifariki dunia.
Adam Mbogoro huyu jamaa anaitwa.
IMG_9743.jpeg
 
Kumwambia Nyerere naacha kazi narudi Kijiji kwa sababu sikubaliani na serikali yako ni zaidi ya maandamano yote ya chadema, hivi mnamjua Nyerere, ni sawa na kumwambia Putin, Mao, Castro au mapanki wa Korea eti narudi Kijijini, kimsingi yeye ataelewa unasema narudi kaburini, tena na familia yako
Mi hiyo kauli imenifurahisha tu .Sijali kama alikuwa anaogepeka au haogopeki.
 
Balozi Raphael Lukindo, balozi old school kichizi. Mpaka Nyerere ilikuwa anataka sana kumsikiliza.

Balozi alikuwa kapewa kazi kufungua ubalozi wa Italy, baada ya miaka michache akaomba kurudi Tanzania akafanye kazi vijijini. Mpaka Nyerere mwenyewe akashangaa. Baadaye alimfanya kuwa mkuu wa Itifaki.

Balozi Lukindo alimpinga Waziri Mkuu Sokoine kwa point, halafu Sokoine akalazimisha hoja kwa kuwa yeye Waziri Mkuu. Baadaye ikaonekana Balozi Lukindo alikuwa sawa na alivyoonya points zake zimekuwa vile vile.

Nikikumbuka washua kama hawa waliokuwa na uzalendo na principles halafu nikilinganisha na viongozi wapigaji wa leo, nasikitika sana.

Hapa umenigusa Mkuu huyu Raphael Lukindo ( R.I.P) nipo far related nae.

Natamani kumjua zaidi, sikupata nafasi ya kumjua akiwa enzi za uhai wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom