Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Binti huyu tulifahamiana miaka miwili iliyopita na tukawa very good friends, tukaja achana kwa sababu za kikazi...mwaka uliopita tulikutana tena na katika kukumbushia urafiki tukajikuta tunaenda over-board na kufanya the 'not needful'...nikaondoka na kurudi nyumbani. kumbe huku nyuma alishika ujauzito wangu (so she claims)
miezi mitatu baadaye tulikutana ndipo akaniambia alishika mimba ila ilitoka 3days kabla tuonane (alivamiwa na majambazi katika kumghasi ghasi walimgonga tumbo mno) siku mbili baadaye mimba ikatoka!
Kabla ya stori hii nilikuwa na some feelings towards her...hoping kuwa na relatioship na yeye despite what we did on that day. Ila tangu ameniambia mimba ilitoka akili yangu imekuwa ikiwaza kuwa hiyo ni strategy ya kunikeep with her nione dat she went through a lot for me..
tatizo ni yeye anavyo insist kuwa ananipenda and she wants to be with me...na pia kuwa i still have feelings for her.
How do i remove my doubts? how do i ascertain that she truly loves me? ..is she even worth it?
miezi mitatu baadaye tulikutana ndipo akaniambia alishika mimba ila ilitoka 3days kabla tuonane (alivamiwa na majambazi katika kumghasi ghasi walimgonga tumbo mno) siku mbili baadaye mimba ikatoka!
Kabla ya stori hii nilikuwa na some feelings towards her...hoping kuwa na relatioship na yeye despite what we did on that day. Ila tangu ameniambia mimba ilitoka akili yangu imekuwa ikiwaza kuwa hiyo ni strategy ya kunikeep with her nione dat she went through a lot for me..
tatizo ni yeye anavyo insist kuwa ananipenda and she wants to be with me...na pia kuwa i still have feelings for her.
How do i remove my doubts? how do i ascertain that she truly loves me? ..is she even worth it?