Alipo Babu Samunge...

jsenyinah

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
249
338
Ukianza kuzungumzia historia ya Tanzania, jina la "Babu Samunge" si geni akilini mwa waTanzania na nchi za ukanda ya Afrika ya Mashariki, hasa baada ya kujizolea umaarufu wake mkubwa "wa ghafla" baada ya kuanzisha tiba yake ya asili maarufu kama "kikombe cha babu".

Kikombe hiki cha Babu Samunge kilikusanya maelfu ya wananchi toka maeneo mbalimbali ya nchi ya TZ na nchi jirani; viongozi wa serikali, watumishi mbalimbali, raia wa kawaida, wagonjwa toka mahospitalini ambao kwa namna moja au nyingine 'tuliaminishwa' kuponywa na dawa hiyo ya TZS 500 tu.

Ni kama mshumaa ulizima ghafla, babu huyu kama alitoweka ghafla mithili ya kunyauka kwa maua. Kimya kikatawala.

Yu wapi huyu Babu Samunge na kikombe chake cha TZS 500?
 
Ufukara, dhiki na shida huondoa maarifa na kupunguza uwezo wa kufikiri kuhusu njia bora za kutatua matatizo. Kikombe kilidhihirisha jinsi watu walivyo na matatizo na uhitaji wa uponyaji.

Kuna wengine, changamoto huleta fursa ya kupatikana kwa ufumbuzi wa kudumu kwa changamoto za maisha.
 
Ukianza kuzungumzia historia ya Tanzania, jina la "Babu Samunge" si geni akilini mwa waTanzania na nchi za ukanda ya Afrika ya Mashariki, hasa baada ya kujizolea umaarufu wake mkubwa "wa ghafla" baada ya kuanzisha tiba yake ya asili maarufu kama "kikombe cha babu".

Kikombe hiki cha Babu Samunge kilikusanya maelfu ya wananchi toka maeneo mbalimbali ya nchi ya TZ na nchi jirani; viongozi wa serikali, watumishi mbalimbali, raia wa kawaida, wagonjwa toka mahospitalini ambao kwa namna moja au nyingine 'tuliaminishwa' kuponywa na dawa hiyo ya TZS 500 tu.

Ni kama mshumaa ulizima ghafla, babu huyu kama alitoweka ghafla mithili ya kunyauka kwa maua. Kimya kikatawala.

Yu wapi huyu Babu Samunge na kikombe chake cha TZS 500?
Ile ilikuwa mbinu tu ya serikali ktk kuvunja nguvu za chadema kwani kpindikile chadema ilikuwa inafanya maandamano ya mkoa Kwa mkoa,ila si kweli kwamba babu alikuwa anatibu ni propaganda tu za siasa
 
Ukianza kuzungumzia historia ya Tanzania, jina la "Babu Samunge" si geni akilini mwa waTanzania na nchi za ukanda ya Afrika ya Mashariki, hasa baada ya kujizolea umaarufu wake mkubwa "wa ghafla" baada ya kuanzisha tiba yake ya asili maarufu kama "kikombe cha babu".

Kikombe hiki cha Babu Samunge kilikusanya maelfu ya wananchi toka maeneo mbalimbali ya nchi ya TZ na nchi jirani; viongozi wa serikali, watumishi mbalimbali, raia wa kawaida, wagonjwa toka mahospitalini ambao kwa namna moja au nyingine 'tuliaminishwa' kuponywa na dawa hiyo ya TZS 500 tu.

Ni kama mshumaa ulizima ghafla, babu huyu kama alitoweka ghafla mithili ya kunyauka kwa maua. Kimya kikatawala.

Yu wapi huyu Babu Samunge na kikombe chake cha TZS 500?









Habari na Hadithi Zetu



Maisha ya Babu wa Loliondo, Ambilikile Mwasapile kabla na baada ya kikombe



Kabla ya Kikombe Hakijachanganya

Hii ni nyumba ambayo alikuwa akiishi Babu wa Loliondo Ambilikile Mwasapile kabla hajaanza kutoa kikombe na alivyoanza kutoa kikombe lakini kikiwa bado hakjachanganya





Maisha ya Babu Ambikile kwa sasa baada ya kutoa kikombe

Nyumba yake ya sasa






Mojawapo ya magari yake anayomiliki kwa sasa aina ya Landcruiser






Babu Ambilikile Mwasapile akiwa ndani ya nyumba yake ya kisasa




Source "Posted by Hadithi Zetu at 00:26
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: Ambilikile Mwasapile, Babu, Babu wa Loliondo, kikombe, kikombe cha babu, Loliondo.
Copyright © [Hadithi Zetu] [2013]. All rights reserved. Watermark template. Powered by Blogger."
 
Huyu babu lazima aingie kweny historia ya Tanzania maan aliweza kuwashawishi watu wengi sn na watu waka muamini wa daraja lote masikini , tajiri,mweupe ,mweusi,na aliye kuwa hana elimu na mwenye elimu .wakiamini kikombe kimoja tu unapona maradhi yote sugu.

Ukweli utabaki pale pale kuna vitu vinatokea TANZANIA.... haviwezi tokea sehemu yoyote ya Dunia.
 
1477475249799.jpg


Muulize huyu ndo anajua babu wa loliondo alipo

Kama mtu alikunywa kikombe upungufu wa kufikiria unafikiri anaweza kuongoza vizuri mi hata akiomba misikiti simshangai kwa sababu ndo uwezo wake wa kufikiria unafika hapo

Halafu kakazana muniombee ha ha ha siuende kwa babu unywe kikombe
 
Huyo mzee nilisikia kuwa Kuna jambo anataka kufanya kaomba eneo kwenye halmashaur yao. Sijui kaishia wapi
 
Back
Top Bottom