Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,336
- 7,481
Jamaa anafanya kazi kwenye taasisi moja hivi. Halafu siku moja mkakutana kazini chooni akiwa analia
Jamaa anafanya kazi kwenye taasisi moja hivi. Halafu siku moja mkakutana kazini chooni akiwa analia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamaa anafanya kazi kwenye taasisi moja hivi. Halafu siku moja mkakutana kazini chooni akiwa analia
Akibomoa ushahidi wa gharama za ujenzi utapotea. Atadai nini sasa na kazi ameiharibu. Hapo anatakiwa kwenda mahakamani kufungua kesi ya madai sababu wao ndio walimshawishi kuanza ujenzi huku wakiahidi kuandaa mkataba.Atoe notice ya kufanya ubomoaji au aende mahakamani
Kausha zingatia kanuni ya msingi kuwa ni "ukweli njoo, uongo njoo, utamu kolea".Jamaa anafanya kazi kwenye taasisi moja hivi. Halafu siku moja mkakutana kazini chooni akiwa analia
Ushaur mzur mkuu. Ntampa kesho asome atafanyia kaz hiloNaiona changamoto ya conflict of interest. Lakini kwa kuanzia aongee na DED wake kwanza. Akishindwa amcheki RAS akibounce hapo kuna route ntakushauri later.
kwa kuwa jengo limeisha aandike barua ya kukabidhi kazi kwa sababu bila kukabidhi itaonekana kazi haijakubalika na kutoa mwanya wa kuzungushwa kulipwa. Awaandikie sasa kwa sababu shule zinazojengwa kwa mradi wa SEQUIP zinatakiwa kuwa zimekamilika na kuanza kutumika January. Akichelewa kukabidhi msala utakuwa kwake kwa kuwa itaonekana kashindwa kazi. Aongee na Eng. vizuri pia kwa sababu huyo ndie kashikilia kamba hapo.
Na inavyoonekana tayari Mwalimu Mkuu, Engineer na Afisa Elimu walishakula cut bila kumshirikisha kwa kufikiri wa tam fix tu kwa sababu hela za hiyo miradi zipo mashuleni tayari.
Mwambie asiwe mnyonge.
Katika Mazingira Yanayotaka Kufanana Na Hayo Baba Yangu Alidhurumiwa Kama Milioni 30 Mwanzoni Mwa Mwaka 2000,kwa Muda Huo Ni Pesa Kubwa Sana Kwa Mpambanaji Mdogo
Baada ya kuwekwa ndani ikawaje?Kuna jamaa huko mikoa ya magharibi alipewa tenda kubadilisha madirisha kwenye kituo cha afya na kuweka ya aluminum, akafanya kazi yake vizuri sana na akamaliza. Sasa kulipwa ikawa issue, jamaa alivyoona usumbufu umezidi akaenda kung'oa madirisha yote ya aluminum aliyoweka. Aisee jamaa wakamfanyia figisu wakamkamata na kumbambikia makosa na akawekwa ndani. Haya mambo yana uonevu mkubwa sana sometimes.
Yeye hawezi kumfanya chochote ila Mungu analo la kumfanya loloteakitulia amwachie Mungu haki zinapotea vizuri tu na huwezi kufanya chochote
Unatumia nguvu kubwa kuonesha ni mtu mwingineAlinisikilizisha voicerecord alizo kuwa nao kwenye maongezi ya makubaliano ntaziweka apa kama akinikubalia kunitumia
Taasis zinamambo ya ovyo snkwa wazabuni tunaelewa haya
visa ni vingi sana