Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,502
- 86,050
Kuna gazeti liliripoti miezi michache iliyopita kuwa Mzee Mukama ameamua kutunza heshima yake kwa kujiengua nafasi yake hapo NEC itakapokaa baaade mwaka huu, habari ile ilipingwa sana ila baada ya Taarifa zile hatujawahi kumsikia Mzee wa Msutachi tena, hajawahi kuongea lolote zaidi ya miezi sasa, lakini katikati ya GIZA hili kama kile kilichosemwa ni uongo au ukweli Mzee Kinana ambaye pia kuna taarifa kuwa hakupendezewa kabisa na mkutano wa CCM pale Jangwani miezi michache iliyopita nakwamba pia alitoa tahadhari juu ya kuwataja wapinzani katika mkuatano ule, nae pia Kaamua kukaa kando, japo huyu kawa jasiri kuweka kwa barua na kwa sauti kuwa anakaa kando (sababu za kukaa kando zibaki kama zilivyo, suala ni kwamba amekaa kando).
Biashara ya kupinga MAELEZO ya Kinana inaendelea bado lakini cha kushangaza katikati ya mabishano hayo dhidi ya kauli ya Kinana ameibuka tena Kijana wa Kijani mwenye Afya tele Ndugu yangu na rafiki yangu Mheshimiwa NAPE, huyu naye kuna taarifa hapa jamvini na baadhi ya vyombo vya habari kuwa hatagombea tena NEC. ukweli ni kwamba hiii nayo si dalili njema sana, kuna taarifa za ziada nyuma ya taarifa hizi? Ni zipi hizo?
Updates:
Wazee weneye hekima na mikwara na Vijana wenye maono na uchungu kwa nchi yao watimuliwa NEC-CCM; Maneno ya Mzee Mkapa yatimia mapema kuliko ilivyotarajiwa kuwa Wazee wanaonekana kuwa hawana busara na ushauri wao hauzingatiwi tena....
Hakuna anaejua kwa sasa..... Who is next? ukiachilia mbali kukaa kimya kwa Mzee Makamba, Kingunge na Fresh Comment ya Mzee Mkapa (kuwa Wazee hawathaminiwi mawazo yao) Kuna nini jamani huko CCM?
Je huu ndio mwisho wa CCM?
Biashara ya kupinga MAELEZO ya Kinana inaendelea bado lakini cha kushangaza katikati ya mabishano hayo dhidi ya kauli ya Kinana ameibuka tena Kijana wa Kijani mwenye Afya tele Ndugu yangu na rafiki yangu Mheshimiwa NAPE, huyu naye kuna taarifa hapa jamvini na baadhi ya vyombo vya habari kuwa hatagombea tena NEC. ukweli ni kwamba hiii nayo si dalili njema sana, kuna taarifa za ziada nyuma ya taarifa hizi? Ni zipi hizo?
Updates:
Wazee weneye hekima na mikwara na Vijana wenye maono na uchungu kwa nchi yao watimuliwa NEC-CCM; Maneno ya Mzee Mkapa yatimia mapema kuliko ilivyotarajiwa kuwa Wazee wanaonekana kuwa hawana busara na ushauri wao hauzingatiwi tena....
Hakuna anaejua kwa sasa..... Who is next? ukiachilia mbali kukaa kimya kwa Mzee Makamba, Kingunge na Fresh Comment ya Mzee Mkapa (kuwa Wazee hawathaminiwi mawazo yao) Kuna nini jamani huko CCM?
Je huu ndio mwisho wa CCM?