Ahamadia
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 529
- 361
10 kutoka kwa mwenyezi siyo?Kwa taarifa yako hata humpendi mama lkn elewa kuwa unatakiwa uhesabu miaka 10
10 kutoka kwa mwenyezi siyo?Kwa taarifa yako hata humpendi mama lkn elewa kuwa unatakiwa uhesabu miaka 10
Lema amelipa madeni yake ?
Dawa ya deni ni kulipa na siyo kujibanza Canada
Masikini unaumia sana ukisikia wafuasi wa shetani lenu wanavyoshughulikiwa!Mtahangaika sana ila hakuna kitakachobadilika.
Na mjuwe live mnajiandalia kesho yenu ingine ya visasi.
Sababu utawala huo utabadilika na siyo kila atakayekuja atakuwa mshikiwa Remote kutoka Msoga Gang!
Mark my words!
Na muda ni Shahidi mzuri,sio kila amayekomolewa kwamba hana wanaouona huu ujimga unaoendelea.
Tena itakapowadia zamu yenu,itakuwa chungu sana.
Nimepita na sintamj8bu yeyote!
Muda wenu wote mliokuwa mnatumia kipindi cha jiwe kuwanyanyasa wananchi leo hii mtalia sana na kusaga meno
Acha kulia liaMtahangaika sana ila hakuna kitakachobadilika.
Na mjuwe live mnajiandalia kesho yenu ingine ya visasi.
Sababu utawala huo utabadilika na siyo kila atakayekuja atakuwa mshikiwa Remote kutoka Msoga Gang!
Mark my words!
Na muda ni Shahidi mzuri,sio kila amayekomolewa kwamba hana wanaouona huu ujimga unaoendelea.
Tena itakapowadia zamu yenu,itakuwa chungu sana.
Nimepita na sintamj8bu yeyote!
Acha wogaNimepita na sintamj8bu yeyote!
Kwahiyo ninyi machadema 2025 ni mwendo wa kumpitisha mama tu?Kwa taarifa yako hata humpendi mama lkn elewa kuwa unatakiwa uhesabu miaka 10
Akamsafirisha Mbunge hadi USA....Huyu mjinga afungwe alikuwa anatumia madaraka yake vibaya sn
Naona machadema mnajiandaa kumpitisha mama kwa kishindo 2025 ili kumkomoa jiwe!Nakuona mjane asiye na urithi maana ni kibanda umiza
Tatizo la watanzania wengi ni kukariri maisha badala ya kudeal na watu wanaowaibia kila siku wanashangilia mtu fulani kupelekwa mahakamani na kushitakiwa, mtu ambaye hata kama akishitakiwa na kufirisiwa hana faida yeyote kwao na famialia zao!Ni majinga sana hayo majitu maana yalishadanganywa na kuaminishwa kuwa mtu akiwa na mali basi huyo ni mpigaji