Mkuu kama ni kweli ni habari njema maana Papa Msofe ni lazima katika ungamo atamke yote!!! Washikaji mwisho wa ubaya ni aibu.Anayejua gazeti la tarehe 10 liloandika habari ya alex massawe kutafutwa kwa mauji atujuze wa hapa Jf
alex masawe bado hajastaafu tu?
a.m. 1984ndio nani huyo?
Ndio nani huyo?
"Mr
Marijani acquired the house from his
friend". Huyo rafiki yake Ni Jambazi Alex Masawe na ashakimbia hajulikani alipo!
mkuu umenichekesha, hawa jamaa ni SENIOR EXPERT CRIMINALSAlex Massawe ni rafiki ya Papaa Msofe na wote ni wahalifu waandamizi hapa Bongo.
mkuu umenichekesha, hawa jamaa ni SENIOR EXPERT CRIMINALS
waje wamuangalie kuna nyumba zake mbili zipo huku mbezi beach- dar es salaam eneo linaitwa kwa zena......huwa kuna range rover black inaingiaga night kali lakin mchana panakua hakuna business yeyote around except usiku tu, so mnaomtafuta mje kujaribu kutega na hapa
Ndio nani huyo?