Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
huyu jamaa hata kama ni fisadi lakini anachoa fanya musoma vijijini kinaonekana na amepeleka maendeleo kwa kiasi chake!
hao wengine mmmmmh
Ukimwibia mtu milion 10 kisha akamgai 100,000/ apoze machungu hiyo ikoje? huyu anataka kupata symphasizers siku yakimkuta ! si unakumbuka Lowasa alitandikwa zulia na Maskofu walikuepo kumuombea dua !
Just a ROBIN HOOD STYLE !!