Gazeti la Mwanahalisi la leo limeripoti habari kuwa wamiliki wa Dowans wanaojiandaa kuchota Bil. 185 ni hawa
1. Mfanyabiashara mmoja ambaye pia ni Mbunge
2. Mwanasiasa mmoja ambaye aliwahi kushika wadhfa wa juu Serikalini
3. Mwanasheria mashuhuri ambaye amweahi kutetea Serikali katika kesi mbalimbali na ana uhusiano na makampuni ya uwakili ya Uingereza. Mwandishi ameenda mbali kwa kudai kuwa majina anayo lakini anayahifadhi (an'way)!
Je hakuna mwana JF mwenye majina halisi ili ayataje hapa badala ya kufichaficha-kwa JF is wher we dare to talkopenly!
Wana JF, plz yamwageni hapa.
1. Mfanyabiashara mmoja ambaye pia ni Mbunge
2. Mwanasiasa mmoja ambaye aliwahi kushika wadhfa wa juu Serikalini
3. Mwanasheria mashuhuri ambaye amweahi kutetea Serikali katika kesi mbalimbali na ana uhusiano na makampuni ya uwakili ya Uingereza. Mwandishi ameenda mbali kwa kudai kuwa majina anayo lakini anayahifadhi (an'way)!
Je hakuna mwana JF mwenye majina halisi ili ayataje hapa badala ya kufichaficha-kwa JF is wher we dare to talkopenly!
Wana JF, plz yamwageni hapa.