Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
huyu mwandishi ni mnigeria aisee..sisi waandishi etu wanafanya nini? lol!! hawana ujasiri au hawana elimu
Anas Aremeyaw Anas muandishi wa habari za uchunguzi kutoka Ghana aliyekuwa anafanya kazi za uchunguzi kwa niaba ya Aljazeera film yake itatangazwa na aljazeera, hii ni habari mbaya sana kwa Tanzania. Anaeleza hatari zinazowakuta albino wa Tanzania.
Kilichonishangaza si mauaji ya albino ambayo yamezoeleka bila hatua madhubuti za kuwalinda kufanywa, bali ni matumizi ya viuongo vyao kushinda uchaguzi. Anas anasema kuwa mikono, miguu au kichwa cha albino hutumiwa na wanasiasa katika kutengeneza dawa ya kujipatia ushindi katika uchaguzi.
Hili la dawa ya ushindi kwenye uchaguzi ndilo limenistua sana, kama ni kweli wanasiasa wanahusika na basi ni dhahiri vita hii haiwezi kuwa rahisi kama wanaotakiwa kuwalinda albino ndiyo watumiaji wakubwa wa viungo vyao.
Nafikiri sasa umefika wakati kuwamulika wanasiasa wote katika vita dhidi ya mauaji ya albino. Hii ni habari mbaya sana kwa Tanzania kama ina ukweli ndani yake. Msikilize Anas katika mahojiano yake hapa chini
[video]http://news.peacefmonline.com/news/201112/83727.php[/video]
[video]http://www.aljazeera.com/programmes/africainvestigates/2011/11/201111185428766652.html[/video]
What I also found interesting ni kuwa mwandishi wa Nigeria ndiye aliyeenda anda cover; ukiona Vick Mtetema sidhani kama kuna waandishi wetu wakubwa ambao waliwahi kwenda kuzama kama alivyofanya huyu jamaa. Au hatuna vifaa na uwezo - hadi tuwezeshwe?
What I also found interesting ni kuwa mwandishi wa Nigeria ndiye aliyeenda anda cover; ukiona Vick Mtetema sidhani kama kuna waandishi wetu wakubwa ambao waliwahi kwenda kuzama kama alivyofanya huyu jamaa. Au hatuna vifaa na uwezo - hadi tuwezeshwe?
Mwanaijiji wewe kichwa chao cha habari kilenda mbali kwenye hii coment sasa ndi nilichotak kuuliza.
Hawa Alazajera wanatumia vifaa gani au binadamu wenye uwezo gani amabo taaisis zetu za kama TBc hazina .
Aisee inasikitisha sana.
huyu mwandishi ni mnigeria aisee..sisi waandishi etu wanafanya nini? lol!! hawana ujasiri au hawana elimu
Ni aibu kwa taifa mkuu, nina uhakika kabisa kuna wabongo waliko nje ya Tanzania wanakuwa kwenye situation ambapo wanaona wakijitambulisha wametoka bongo sintofahamu nyingi na maswali kibao,kama huna muda nashauri usiseme ni mbongo.Mwandishi ni mghana si mnigeria
Ila hii ni aibu kwa kitengo cha uchunguzi polisi na hata vyombo vyetu vya habari
Amua mwenyewe... tulihitaji Al-Jazeera kwenda this deep.
...Hakuna ushahidi unaoonyesha bungeni kuna watu "educated", hata wa kimazingira. Badala yake, kuna watu waliohudhuria shule.Chanzo cha watu kuamini ushirikina ni nini? Huyu Bwana Mtangazaji anasema kisa watu are "uneducated". Hivi Tanzania wale waliosoma hawaamini ushirikina? Manake nimekumbuka kisa cha Chenge na ungaunga Bungeni