Mimi ningependa kuwaomba wazee wangu Ali na Abbas Pamoja na Wahariri wa Al Huda na wasomaji wake, kwamba vita ya ufisadi si dhidi ya Kikwete au dhidi ya uislamu, na ndio maana sisi wengine tukiwa ni wakristo wa kweli au la tunamsema Mkapa , Lowasa na hata Sumaye na wengine walioleteleza nchi kuangamia namna hii etc, hivyo tunaomba tushirikiane pamoja ili tuweze kuishinda hii vita bila kuhusisha ufisadi na Dini, tukigawanyika ndipo mafisadi watakapo pata njia ya kutokea. Ninavyo elewa kuna wakristo/waislamu n wapagani wazuri na vivyo hivyo tunao wabaya.
sasa nia yetu ni ipi kufanya ubaya kwa sababu upande wa pili nao ulifanya ubaya?
nafikiri cha kufanya ni kurekebisha na inapowezekana kuadhibu kwa yule aliye fanya makosa. ili hatimaye tuweze kula hiyo Keki ya taifa vizuri kwa faida ya Vizazi vyetu, vya sasa na vitakavyo kuja.
sasa nia yetu ni ipi kufanya ubaya kwa sababu upande wa pili nao ulifanya ubaya?
nafikiri cha kufanya ni kurekebisha na inapowezekana kuadhibu kwa yule aliye fanya makosa. ili hatimaye tuweze kula hiyo Keki ya taifa vizuri kwa faida ya Vizazi vyetu, vya sasa na vitakavyo kuja.