Kwa nini??mmmh....mi binafsi sitaki.....
Nipo tayari kufa kwa yeyote atakayenidondokea......lol!!Mmh, kesi ya mauaji hiyo kaeso
Mimi naona wa hapa JF ndio wametulia.Kwani lazima uwakabidhi akina dada wa JF tu? Jaribu na kwingineko waweza kupata mwenye nia ya dhati ya kukutunzia huo moyo wako.
Mimi naona wa hapa JF ndio wametulia.
Mimi naona wa hapa JF ndio wametulia.
Huyu umiza kichwa hafai....!!mpe MS
Huyu kwa kweli anastahili kabisa zawadi hii.mpe FF
Ha ha ha haaah!! watanishangaza eti.......:lol:Mkuu hujawahi kushangazwa ehh..
Ha ha ha haaah!! watanishangaza eti.......:lol:
Kama ni hivyo, kipimo chako unachotumia kupima utulivu kitakuwa kibovu na matokeo yake utaishia kulizwa kama wenzako tulivyowahi kulizwa. Juu yako!Mimi naona wa hapa JF ndio wametulia.
Kama ni hivyo, kipimo chako unachotumia kupima utulivu kitakuwa kibovu na matokeo yake utaishia kulizwa kama wenzako tulivyowahi kulizwa. Juu yako!