hakuna dada anayetafuta mtoto mwenyewe lazima mwanaume awepo kama wanaume wasengelala na mtoa mimba isingekuwepo au angekubali kumtunza mtoto nani angeua blame catters both sides
dah... kamanda wangu, pamoja na kukuvika cheo cha ukamanda usha-groan mara tatu??? sasa ndio naanza kuelewa kwanini inakuwa hivi??:noidea:Ningekuwa darasani tungeongea mengi sana hapa.........but in short suala la utoaji mimba halizungumziki kirahisi namna hii........eti kina dada msikubali wanaume wasioeleweka au msikubali kuzaa bila mpangilio au msibebe mimba........ Vichocheo vya jambo hili viko vingi ikiwa pamoja na umasikini, ulaghai, unyanyasaji wa kijinsia, ukosekanaji wa maadili you name it.
Hahahaha kamanda .......mie nadhani kitufe changu cha thanx kimechakachuliwa..mie nathank nashangaa ina-groan ah.dah... kamanda wangu, pamoja na kukuvika cheo cha ukamanda usha-groan mara tatu??? sasa ndio naanza kuelewa kwanini inakuwa hivi??:noidea:
duh.. Hii kali ya mwaka,Hahahaha kamanda .......mie nadhani kitufe changu cha thanx kimechakachuliwa..mie nathank nashangaa ina-groan ah.
Hivi kwanini baadhi ya nyie akina dada anaua watoto mliowatafuta kwa starehe zenu? Mtu unajiachia mwenye tena bila kinga yoyote, then ukipata mimba unatoa, je hamjui kuwa hapo anafanya mauji ya viumbe vya MUNGU? Kama hampo tayari kuzaa, kwanini mnajiachia bila kutumia hata lady pepeta? Wazazi wenu wangezitoa mimba zenu, nyie mngekuwepo hapa duniani? Inaniuma sana kwakweli!!!!!!!!!!!
Nimecheka unaposema eti wazazi wenu wangewaua mngekuwepo, so ni heri wale watoto wanazagaa mitaani na kupata shida vile ee. Sema watu wajitahidi wasibebe mimba, ila hili la kuzaa kila mimba bila mpangilio hata siliafiki
Mwanaume hajui kama mwanamke yupo kwenye joto. Na sisi wanaume tungekuwa tunanusa nusa kama beberu kujua kama upo kwenye joto hapo sawa lakini lawama zinaenda kwa mwanamke anae jua mwili wake kwa nn hakujizuia kushika mimba?
Tena ni wakati muafaka.......du the needful kaka.duh.. Hii kali ya mwaka,
sasa (off-topic), Hivi nikikuletea chupa ya black label ofisini right now itakua kosa??
dah... kamanda wangu, pamoja na kukuvika cheo cha ukamanda usha-groan mara tatu??? sasa ndio naanza kuelewa kwanini inakuwa hivi??:noidea:
Mamangu amenizaa akiwa na miaka 15,..
alikua hajapanga,na wakati wote wa mimba yake aliteswa kwa limtu lilo mdanganya na kumpa sababu ya umaskini wake.
alifukuzwa kwao....
alikuwa house gal na huko usumbufu ni uleule.....
alishauriwa kutoa aka kataaa,....
Mimba yangu ilikua haija pangwa,....
angetoa leo ningekua wapi?
Yawezekana hujapanga kumzaa mtoto,ila Mungu ana plan nae na ameona wewe unaetaka kutoa unafaa kumleta duniani!
Shiiiit,...
Suala hapa si utoaji mimba wewe, una uhakika gani mama yako hajawahi kutoa mimba? acheni unafiki hapa na wewe pia inawezekana ulishashiriki kutoa mimba ila unajishaua tu hapa eti mama yangu asingenizaa ningekuwa wapi unafikiri mama yako alishadanganywa mara ngapi mpaka sasa
Watu inapokuja kwenye realities wanakuwa wanafiki sana ikitokea utoaji mimba oo mungu hapendi kwenye keyboard wakati huko wanafanya, linapoletwa suala la uzinzi hapa unakuta karibu kila mtu anakemea ila huyo huyo anaendelea kufanya uzinzi, so tupunguze unafiki jama uongelewe ukweli ili watu wajifunze.
Mimi sikubaliani tena nasema tena suala la mtu kufyatua watoto hovyo eti kisa kama wewe ungeuwawa ungekuwepo. Dhambi ni dhambi kwa mungu hakuna dhambi ndogo wala kubwa kuua na kudanganya zote ni dhambi moja mbele ya mungu. so watu waeleweshwe madhara ya utoaji mimba na kufanyana bila condom na sio kuhalalisha kuzaa kila kiumbe kiingiacho tumboni.
watu wanazungumzia tu condom hapa lakini asilimia kubwa ya watu wanatumia condom mara chache sana so tupunguze unafiki, ukweli lazima usemwe hata kama ni mbaya machoni kwa watu
Watu inapokuja kwenye realities wanakuwa wanafiki sana ikitokea utoaji mimba oo mungu hapendi kwenye keyboard wakati huko wanafanya, linapoletwa suala la uzinzi hapa unakuta karibu kila mtu anakemea ila huyo huyo anaendelea kufanya uzinzi, so tupunguze unafiki jama uongelewe ukweli ili watu wajifunze.
Mimi sikubaliani tena nasema tena suala la mtu kufyatua watoto hovyo eti kisa kama wewe ungeuwawa ungekuwepo. Dhambi ni dhambi kwa mungu hakuna dhambi ndogo wala kubwa kuua na kudanganya zote ni dhambi moja mbele ya mungu. so watu waeleweshwe madhara ya utoaji mimba na kufanyana bila condom na sio kuhalalisha kuzaa kila kiumbe kiingiacho tumboni.
watu wanazungumzia tu condom hapa lakini asilimia kubwa ya watu wanatumia condom mara chache sana so tupunguze unafiki, ukweli lazima usemwe hata kama ni mbaya machoni kwa watu
Hivi kwanini baadhi ya nyie akina dada anaua watoto mliowatafuta kwa starehe zenu? Mtu unajiachia mwenye tena bila kinga yoyote, then ukipata mimba unatoa, je hamjui kuwa hapo anafanya mauji ya viumbe vya MUNGU? Kama hampo tayari kuzaa, kwanini mnajiachia bila kutumia hata lady pepeta? Wazazi wenu wangezitoa mimba zenu, nyie mngekuwepo hapa duniani? Inaniuma sana kwakweli!!!!!!!!!!!
Maty bana unawaelewesha nini watu kitu ambacho wanakijua labda awe mtoto wa miaka 7 yaani unaeleweshwa mtu wa miaka 20 na kuendelea madhara ya kufanya mapenzi bila kutumia condom ni kama vile unampigia mbuzi gitaa, watu wanajua bwana wanafanya makusudi tu baadae wanaanza kusema mara Mungu mara sijui nini.Watu inapokuja kwenye realities wanakuwa wanafiki sana ikitokea utoaji mimba oo mungu hapendi kwenye keyboard wakati huko wanafanya, linapoletwa suala la uzinzi hapa unakuta karibu kila mtu anakemea ila huyo huyo anaendelea kufanya uzinzi, so tupunguze unafiki jama uongelewe ukweli ili watu wajifunze.
Mimi sikubaliani tena nasema tena suala la mtu kufyatua watoto hovyo eti kisa kama wewe ungeuwawa ungekuwepo. Dhambi ni dhambi kwa mungu hakuna dhambi ndogo wala kubwa kuua na kudanganya zote ni dhambi moja mbele ya mungu. so watu waeleweshwe madhara ya utoaji mimba na kufanyana bila condom na sio kuhalalisha kuzaa kila kiumbe kiingiacho tumboni.
watu wanazungumzia tu condom hapa lakini asilimia kubwa ya watu wanatumia condom mara chache sana so tupunguze unafiki, ukweli lazima usemwe hata kama ni mbaya machoni kwa watu
Maty aisee nilikuwa nasubiria kweli hitimisho la hili sakataHata yule kaka niliesema amepigwa mpaka amekufa kwa kufumaniwa na mkewe kuchangia fumanizi, ndugu walificha eti kisa wanaona aibu kusema kapigwa kwa sababu kafumaniwa sasa amekufa. Baada ya kufa jana maiti imebidi istopishwe kuaga ili ichunguzwe tena kwani mwanzo walificha baada ya uchunguzi mwanamke amekamatwa aisaidie polisi na pia kuwataja alioshirikiana nao kumpiga mumewe. So huyo mmama yuko polisi mumewe kaenda zikwa.
Sasa ndio narudi yule kaka asingekufa ingemalizwa kimya kimya tu kwa kuogopa aibu eti kafumaniwa, swali la kujiuliza tukiachana na kufumaniwa ni yeye tu ndio anatoka nnje ya ndoa? ni wengi tu wanatoka ila hawajawahi kufumaniwa, na unakuta mtu akifumaniwa watu wanashabikia kabisa utadhani wao huwa hawafanyi.
TUACHE UNAFIKI KAMA KWELI TUNATAKA KUJIFUNZA
Close the topic,nimetoa mfano kuonesha ubaya wa kutoa mimba na sio kuongelea mamangu katoa mimba ngapi,..
thank God hatujuani na kila mtu yupo kivyake!