Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
hali ni mbaya zaidi
Sasa siku moja tu na spend 100.000!
Bora tumalize game siku ya kwanza tu, mwanamke unatafuna pesa hivyo tukikaa mwezi si takufa kwa madeni
aaah wapi, hiyo laki ya mawazo kwanza. Mnaoombwa vi sh mbili tatu ndio mnaongoza kwa kulalamika. Wenye hela zao wanahudumia bila malalamiko.
Khaa!! kina Liyumba wametukwamisha sana sisi wanyonge!
mtajibeba... Starehe gharama we chatu. Tumia pesa ikuzoee.
Si mpaka akugee, nyi mwafikiri wanawake wote mwalimu wao kipofu ee kuna wengine wamekamilika
Na sisi kina dada huwa tunawapima tuone mna nia gani,anakutega kidogo tu akuone,sasa wewe ulipatikana. pole sana.
kha! Makucha u mean tabia,tabia ya kuomba pesa sio mbaya labda ya kutoa pesa ndo mbaya!we vipi, apo u should be thankful mtu amekuonesha makucha yake bado kweupeee.!! Unajua kabisa, she's not her from th start. . . . . Odhawise, pole kaka!!!
kweli inaboa,mi ishanitokea mara kibao tu,kuna mtoto mmoja nilimuaproach akaniambia anamchumba ila yupo nje ya nchi,akasema yuko tayari kuwa na mimi ila nitambue ana mchumba,nami nikakubali nikijua baaa ya mda nitamkoreza na atamsahau tu huyo mchumba ake,baada kama ya wiki moja hivi nikamuomba tukutane ili tulizindue penzi letu,akaniambia mbn una haraka hivyo?basi mi nikawa mpole,lakini baada ya siku mbili yeye akaniambia anaomba nimpatie 15000 eti mwele akasuke kimasai nikamwambia kwa sasa sina,alichonijibu ni kwamba kama huwezi kuhudumia acha wanaweza kuhudumia watumie,nami nikampotezea,coz yeye kuduu alisema bado mapema nisiwe na haraka nikamsikiliza,lakini yeye anataka pesa mbon hakuona kama nae ni haraka
MMMh! kazi kweli ipo,ss kwani kama unampenda kwanini usimpe? pesa ya saloon unalalamika ungeambiwa ununue gari? ebu wacha ubahili wako umemuona mzuri ndio mana ukamfatia mbio ulidhani anavaa majani? huna mpya ......
hapa napita tu ila nimecheka sana
Yaani nie mnakimbilia ku-do tu, kwanini na nie msipigwe mzinga? Hata hivyo kaka zangu kizuri kna gharama yake na usione vinaelea vimeundwa.