mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,362
- 4,893
Kwanza mnapaswa kujua akili wote mnazo isipokuwa mmetofautiana kwenye uwezo wa kutumia hizo akili na kufanya maamuzi.
Brain sciens inaonesha mwanamke ana ute mweupe, whitematter mwingi zaid kwenye ubongo wake na mwanaume ana ute wa kijivu mwingi zaidi ndani ya ubongo wake ndio mana mwanamke anapopokea taarifa/jambo kutoka katika viungo vya fahamu.
Sensory org mfano akisikia jambo ule ute mweupe ktk bongo yake unasaidia kupeleka taarifa kile alichoambiwa katika mfumo wake wa fahamu kwa hiyo ni rahisi kwake kuchakata taarifa kwa haraka zaid na kuoanisha matukio na kuja na hitimisho.
Ila mwanaume akipokea jambo ute wa kijivu unamsaidia kufocus kwenye hicho alichopokea kabla hajaanza kuhusisha matukio ya nyuma ndio mana ni rahisi sana kwa mwanamke akafungua kesi hapohapo akatoa hukumu hapohapo ila akaja kujuta baadaye.
Hayo yote kutokana na jinsi vile ubongo wake na wako mwanaume unavyofanya kazi kwa utofauti kwahiyo migogoro mingi hutokea ndani ya ndoa sababu kubwa ni utofauti na ufanyaji kaz wa bongo zenu
Brain sciens inaonesha mwanamke ana ute mweupe, whitematter mwingi zaid kwenye ubongo wake na mwanaume ana ute wa kijivu mwingi zaidi ndani ya ubongo wake ndio mana mwanamke anapopokea taarifa/jambo kutoka katika viungo vya fahamu.
Sensory org mfano akisikia jambo ule ute mweupe ktk bongo yake unasaidia kupeleka taarifa kile alichoambiwa katika mfumo wake wa fahamu kwa hiyo ni rahisi kwake kuchakata taarifa kwa haraka zaid na kuoanisha matukio na kuja na hitimisho.
Ila mwanaume akipokea jambo ute wa kijivu unamsaidia kufocus kwenye hicho alichopokea kabla hajaanza kuhusisha matukio ya nyuma ndio mana ni rahisi sana kwa mwanamke akafungua kesi hapohapo akatoa hukumu hapohapo ila akaja kujuta baadaye.
Hayo yote kutokana na jinsi vile ubongo wake na wako mwanaume unavyofanya kazi kwa utofauti kwahiyo migogoro mingi hutokea ndani ya ndoa sababu kubwa ni utofauti na ufanyaji kaz wa bongo zenu