Akilala anawaota ma-ex wake

Kuna huyu jamaa rafiki yangu mara kwa mara amekuwa akija kutafuta ushauri kwangu, mara ya mwisho kaniambia kuwa kila akilala na mkewe anawaota ma-ex wake nikashindwa kumsaidia, juzi kaja kuniambia kuwa kwa wiki mbili mfululizo amekuwa akiwaota ma-ex wake one after another mpaka akamwambia my wife wake basi hawezi endelea na ndoa. kisha kaja kwangu kuniuliza kama kafanya jambo la busara kumuacha mama au kakosea, nimsaidie vipi?

mi sizani kama mtu kumuota mpenzi wake wa zamani itapelekea ndoa kuvunjika...so GM hebu weka wazi hiyo ndoa ni ya msikitini, kanisani, bomani au ya mkeka?
 
mi sizani kama mtu kumuota mpenzi wake wa zamani itapelekea ndoa kuvunjika...so GM hebu weka wazi hiyo ndoa ni ya msikitini, kanisani, bomani au ya mkeka?

GC,

Hii ndoa ilikuwa ya bomani, nafikiri ndio detail ulikuwa unataka, kwa kifupi waliishi pamoja kama mwaka hivi kabla ya ndoa kisha wakaenda kufanya kweli bomani.
 
Kuna huyu jamaa rafiki yangu mara kwa mara amekuwa akija kutafuta ushauri kwangu, mara ya mwisho kaniambia kuwa kila akilala na mkewe anawaota ma-ex wake nikashindwa kumsaidia, juzi kaja kuniambia kuwa kwa wiki mbili mfululizo amekuwa akiwaota ma-ex wake one after another mpaka akamwambia my wife wake basi hawezi endelea na ndoa. kisha kaja kwangu kuniuliza kama kafanya jambo la busara kumuacha mama au kakosea, nimsaidie vipi?

Mkuu GM,

Ndoto mabozo mara kwa mara zimekuwa zikijirudia kwa kiaalamu wanaita "Recurring Dreams": www.dreammoods.com/dreaminformation/dreamtypes/recurringdreams.htm


Recurring dreams are quite common and are often triggered by a certain life situation or a problem that keeps coming back again and again. These dreams may recur daily, once a week, or once a month, but whatever the frequency, there is little variation in the dream content itself. It usually points to a personal weakness, fear, or your inability to cope with something in your life - past or present.

The repetitive patterns in your dream can reveal some of the most valuable information on yourself. It may point to a conflict, situation or matter in your waking life that remains unresolved or unsettled. Or some urgent underlying message in your unconscious is demanding to be understood.

Following are some tips in overcoming your recurring dreams ambazo unaweza uka-share na huyo rafiki yako.

1. In understanding your recurring dream, you must be willing to accept some sort of change or undergo a transformation.

2. You must be willing to look within yourself and confront whatever you may find no matter how difficult it my be.

3. You must be able to look at the dream from an objective point of view. Try to get pass the emotional and reactive elements of the dream and get down to the symbolic images. Many times dreams are masked by elements that are disturbing preventing you to delve any deeper. This is a defense mechanism that your unconscious may be putting up.

4. Be patient. Do not get discourage if these dreams still recur even after you thought you have come to understand them.

5. Learn to accept yourself truly and fully.

Often times, once you discover what your recurring dream is trying to tell you, these dreams will change or altogether disappear.

Sina uhakika kama kaamua kumuacha mke wake itasaidia kumaliza hizo recurring dreams zake na wala sijui kama akioa mke mwingine ataacha. Dreams are not really thing, unless kama he was doing it na hao ma-Ex wake. I think he must get down to reality of dreams and try to work out. Alifanya vizuri kumweleza mke wake juu ya dreams kwa kuwa hiyo ilikuwa ni stage muhimu ya ku-explore. I beliave angeendelea kujidiscover ndoto hizo zingepotea kama mwanataaluma anavyotuambia hapo juu in numbe 5. Bolded.
 
Hakuna binadamu yeyote duniani anayeweza kuamua au kupanga aote kuhusu nini katika ndoto zake. Tungekuwa na uwezo huo basi tungekuwa tunaziepuka ndoto za kutisha. Mimi sioni tatizo lolote hapa la kupoteza muda wake. Kama kamchoka mkewe ni bora amfahamishe hivyo na siyo kutafuta kisingizo kupitia ndoto zake.


Bubu za siku nyingi??? umeadimika kama mkojo wa kuku???? i like that part in red....duh tungekuwa na uwezo...we acha tu....
 
Je huyo jamaa ana muda gani katika hiyo ndoa aliyovunja. Lakini yawezekana alikatili penzi la Binti wa watu akamfungiwa kazi. Hata mimi nilikuwa na rafiki yangu ambaye baada ya kuwowa alishindwa kabisa kuwasahau maex-wake hadi alipokwenda kwa wataalam wakamsaidia.

Chief Mtanzania
Naomba nisaidie hapo kwenye RED, ni wataalamu gani hawa, pengine inaweza kuwa suluhisho kwa hii ndoa bwana!!
 
Kuna huyu jamaa rafiki yangu mara kwa mara amekuwa akija kutafuta ushauri kwangu, mara ya mwisho kaniambia kuwa kila akilala na mkewe anawaota ma-ex wake nikashindwa kumsaidia, juzi kaja kuniambia kuwa kwa wiki mbili mfululizo amekuwa akiwaota ma-ex wake one after another mpaka akamwambia my wife wake basi hawezi endelea na ndoa. kisha kaja kwangu kuniuliza kama kafanya jambo la busara kumuacha mama au kakosea, nimsaidie vipi?


huyu nimskule anaitaji kurudishwa njoo ufufuo na uzima mwambie awahi mapema kuna sala ya kurudisha ufahamu na nyota zao..kashachukuliwa huyo siyo yeye
 
Kuna huyu jamaa rafiki yangu mara kwa mara amekuwa akija kutafuta ushauri kwangu, mara ya mwisho kaniambia kuwa kila akilala na mkewe anawaota ma-ex wake nikashindwa kumsaidia, juzi kaja kuniambia kuwa kwa wiki mbili mfululizo amekuwa akiwaota ma-ex wake one after another mpaka akamwambia my wife wake basi hawezi endelea na ndoa. kisha kaja kwangu kuniuliza kama kafanya jambo la busara kumuacha mama au kakosea, nimsaidie vipi?
Mjifunze kutunga hadithi badala ya kuwa warongo
 
GM,sometimes prayer can help to get rid of it,if something have been done through his past experience especially kama aliwahi kumtenda mtu.Vinginevyo labda bado ni kiwembe so anakuwa anawafikiria hao wapenzie muda wote,anahitaji kubadilika.
 
Atakuwa hajawafunika hao ma ex bado...! Yaani kwa namna moja ama nyinigne hajawafikia. Ajaribu kumsikiliza mwenzie akiota kwa makini, huenda akajua penye mapungufu, then ajazie....!
 
Bimkubwa,

Kwa maelezo yake sio kitu ya three or four somes, ni kuwa ndoto zinajirudia mara leo kamuota huyu na kesho huyu, pia anasema wakati mwingine wakiwa katika ishu ya uroda na wife wake basi anajikuta bila kutegemea anamfikiria one of them, kwa maelezo yake ni kuwa akiweka akilini mmoja wa hao ma-ex wake basi inakuwa ndio imeongeza viungo zaidi katika kula uroda na wife wake kwa sababu kimawazo anaona kama ni uroda wa one of the ex. Sasa anaona kama anajitesa na kumtesa mkewe kwa kuwafikiria na kuwaota ma-ex mda wote akaamua kuisitisha ndoa. wametengeana ila hawajadivorce na kashindwa kumueleza sababu ya kutengana.alitafuta sababu zingine tu za kutengana kwa mda ndiyo akatinga kwangu na hii ishu.
ndoto siku zote huwa ni mawazo, kile ulichokiwaza sana huwa ndo ndoto,hivyo huyu mama yaonekana anawawazia hawa jamaa so muonye akishindwa achana naye.
 
aaah huyo muotaji ni lazma anaendelea na hao jamaa zake yaani ma ex wake ama sivyo bado anawatamani sana hao ma ex wake na siku akikutana nao ni lazma wale katunda chembaa aaaaah hahahahhaaaaa teheeteheeee mapenzi bwana noma sana unaweza ua mtu kabisa hasa wanawake sijui wakoje hawatulii kivile bora wanaume wake za watu wanatunguliwa sana tena na watu wa ajabu ajabu tu huwezi amini
 
Bimkubwa,

Kwa maelezo yake sio kitu ya three or four somes, ni kuwa ndoto zinajirudia mara leo kamuota huyu na kesho huyu, pia anasema wakati mwingine wakiwa katika ishu ya uroda na wife wake basi anajikuta bila kutegemea anamfikiria one of them, kwa maelezo yake ni kuwa akiweka akilini mmoja wa hao ma-ex wake basi inakuwa ndio imeongeza viungo zaidi katika kula uroda na wife wake kwa sababu kimawazo anaona kama ni uroda wa one of the ex. Sasa anaona kama anajitesa na kumtesa mkewe kwa kuwafikiria na kuwaota ma-ex mda wote akaamua kuisitisha ndoa. wametengeana ila hawajadivorce na kashindwa kumueleza sababu ya kutengana.alitafuta sababu zingine tu za kutengana kwa mda ndiyo akatinga kwangu na hii ishu.

Duh...Leo nilikuwa ninasoma kitabu kimoja cha Dr. Israel Wandamba anazungumzia situation hii, anasema hii ni dalili ya mtu aliye kwenye agano la ndoa ya pepo mahaba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom