Akilala anawaota ma-ex wake

Sam GM

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
535
28
Kuna huyu jamaa rafiki yangu mara kwa mara amekuwa akija kutafuta ushauri kwangu, mara ya mwisho kaniambia kuwa kila akilala na mkewe anawaota ma-ex wake nikashindwa kumsaidia, juzi kaja kuniambia kuwa kwa wiki mbili mfululizo amekuwa akiwaota ma-ex wake one after another mpaka akamwambia my wife wake basi hawezi endelea na ndoa. kisha kaja kwangu kuniuliza kama kafanya jambo la busara kumuacha mama au kakosea, nimsaidie vipi?
 
Kuna huyu jamaa rafiki yangu mara kwa mara amekuwa akija kutafuta ushauri kwangu, mara ya mwisho kaniambia kuwa kila akilala na mkewe anawaota ma-ex wake nikashindwa kumsaidia, juzi kaja kuniambia kuwa kwa wiki mbili mfululizo amekuwa akiwaota ma-ex wake one after another mpaka akamwambia my wife wake basi hawezi endelea na ndoa. kisha kaja kwangu kuniuliza kama kafanya jambo la busara kumuacha mama au kakosea, nimsaidie vipi?
Ndoto ni reflection ya mawazo ya mtu.... inaelekea all along alikuwa anaawaza hao ma-ex wake na hakuwa na haja na mkewe tena!Mweleze ukweli ndo huo.... kesha amua sasa wewe utabadili uamuzi wake kivipi?..alivyofanya ni vibaya obviously
 
Ndoto ni reflection ya mawazo ya mtu.... inaelekea all along alikuwa anaawaza hao ma-ex wake na hakuwa na haja na mkewe tena!Mweleze ukweli ndo huo.... kesha amua sasa wewe utabadili uamuzi wake kivipi?..alivyofanya ni vibaya obviously

...ndoto itabakia kuwa ndoto mpaka pale utapoamka na kuifanya ndoto yako kuwa kweli. Ingekuwa mtu anahukumiwa kwa ndoto alizoota, sote tungekuwa wakosa...:D

Unahakika hajaota amemuacha mkewe?
 
Ni kweli ndoto inabaki kuwa ndoto kama haina madhara ikihadithiwa kwa mtu mwingine. Lakini kwa huyu jamaa aliefikia hatua ya kumwacha mke kwa sababu ya kuota basi Ndoto haipasi kuchukulia ndoto kirahisi hivyo!!!!
 
Huyo kweli ni mgonjwa. Alikuwa anatafuta sababu tu ya kumwacha mkewe. Sasa na tuliowaota kina Denzel Washington tuwaache waume zetu?? Mpe pole nadhani siyo rahisi kiasi hicho awaote ma-ex wake wote, definitely ni recurring dream ya mmoja wao ila ameamua kusema ni ma-ex wote. Was it a three-some? four-some? etc. etc
 
Bimkubwa,

Kwa maelezo yake sio kitu ya three or four somes, ni kuwa ndoto zinajirudia mara leo kamuota huyu na kesho huyu, pia anasema wakati mwingine wakiwa katika ishu ya uroda na wife wake basi anajikuta bila kutegemea anamfikiria one of them, kwa maelezo yake ni kuwa akiweka akilini mmoja wa hao ma-ex wake basi inakuwa ndio imeongeza viungo zaidi katika kula uroda na wife wake kwa sababu kimawazo anaona kama ni uroda wa one of the ex. Sasa anaona kama anajitesa na kumtesa mkewe kwa kuwafikiria na kuwaota ma-ex mda wote akaamua kuisitisha ndoa. wametengeana ila hawajadivorce na kashindwa kumueleza sababu ya kutengana.alitafuta sababu zingine tu za kutengana kwa mda ndiyo akatinga kwangu na hii ishu.
 
Hakuna binadamu yeyote duniani anayeweza kuamua au kupanga aote kuhusu nini katika ndoto zake. Tungekuwa na uwezo huo basi tungekuwa tunaziepuka ndoto za kutisha. Mimi sioni tatizo lolote hapa la kupoteza muda wake. Kama kamchoka mkewe ni bora amfahamishe hivyo na siyo kutafuta kisingizo kupitia ndoto zake.
 
Bimkubwa,

Kwa maelezo yake sio kitu ya three or four somes, ni kuwa ndoto zinajirudia mara leo kamuota huyu na kesho huyu, pia anasema wakati mwingine wakiwa katika ishu ya uroda na wife wake basi anajikuta bila kutegemea anamfikiria one of them, kwa maelezo yake ni kuwa akiweka akilini mmoja wa hao ma-ex wake basi inakuwa ndio imeongeza viungo zaidi katika kula uroda na wife wake kwa sababu kimawazo anaona kama ni uroda wa one of the ex. Sasa anaona kama anajitesa na kumtesa mkewe kwa kuwafikiria na kuwaota ma-ex mda wote akaamua kuisitisha ndoa. wametengeana ila hawajadivorce na kashindwa kumueleza sababu ya kutengana.alitafuta sababu zingine tu za kutengana kwa mda ndiyo akatinga kwangu na hii ishu.

GM, the issue here ni kwamba huyu jamaa hakuwa sexually satisfied na mkewe since day one and he probably married her for all the wrong reasons. Sijui Watanzania tutaamka lini na ku-smell the roses!! Mara nyingi we make wrong choices and end up frustrating our partners.
Thinking of it makes me sick in the stomach maana mara nyingi we have to think what if it were us in the other person's shoes. Kule kusema kwangu kuhusiana na three-some and the like, was a form of sarcasm since ulitoa ujumbe mwanzoni kuwa anaota multiple ex-GFs so I was trying to imagine how was he doing it. Today he dreams of one and the next he dreams of another. That is definitely impossible. Na ndio maana nikatania hivyo na nikasema pia kuwa this must be a recurring dream.
Huyo rafiki yake needed a wakeup call even before he thought of marrying this poor woman who is now a vitim of his own doing. Sijui ataji-redeem vipi kwa huyu dada?? But always the truth sets you free regardless of what the reason.
Separation is the highway to divorce. How does he expect to get back on such flimsy grounds??? Mpe pole mkewe.
 
LOL!..."Bi Mkubwa is tired needs to employ an assistant." What type of an assistant you're looking for?
 
Bimkubwa,

Kwa maelezo yake sio kitu ya three or four somes, ni kuwa ndoto zinajirudia mara leo kamuota huyu na kesho huyu, pia anasema wakati mwingine wakiwa katika ishu ya uroda na wife wake basi anajikuta bila kutegemea anamfikiria one of them, kwa maelezo yake ni kuwa akiweka akilini mmoja wa hao ma-ex wake basi inakuwa ndio imeongeza viungo zaidi katika kula uroda na wife wake kwa sababu kimawazo anaona kama ni uroda wa one of the ex. Sasa anaona kama anajitesa na kumtesa mkewe kwa kuwafikiria na kuwaota ma-ex mda wote akaamua kuisitisha ndoa. wametengeana ila hawajadivorce na kashindwa kumueleza sababu ya kutengana.alitafuta sababu zingine tu za kutengana kwa mda ndiyo akatinga kwangu na hii ishu.

Inawezekana huyo jamaa hamfikishi mkewe kule kunako ndo maana huyo Mkewe anakaa kuota na kuwakumbuka hao ma ex wake. inaelekiea hao ma ex wake walikuwa wanamfikisha kunako. Huyo Jamaa asichukue uamuzi wa kumwacha huyo mwanamke ibabidi ajichunguze yeye kwanza
 
Inawezekana huyo jamaa hamfikishi mkewe kule kunako ndo maana huyo Mkewe anakaa kuota na kuwakumbuka hao ma ex wake. inaelekiea hao ma ex wake walikuwa wanamfikisha kunako. Huyo Jamaa asichukue uamuzi wa kumwacha huyo mwanamke ibabidi ajichunguze yeye kwanza

Badoniponipo,
Anayeota ni jamaa na si mkewe!
Kutokana na maelezo ya ziada ya gm, this guy is fantasizing while at it with his wife..and this is very wrong! Yuko na mkewe physically but mind and soul kaelekeza kwingine kabisaaaaa..... gm tell your friend to stop dreaming ..he should wake up to reality and get going! Kama hamtaki mkewe ...he should do the needful....separation and ultimately divorce.There is no point living a lie!
 
Badoniponipo,
Anayeota ni jamaa na si mkewe!
Kutokana na maelezo ya ziada ya gm, this guy is fantasizing while at it with his wife..and this is very wrong! Yuko na mkewe physically but mind and soul kaelekeza kwingine kabisaaaaa..... gm tell your friend to stop dreaming ..he should wake up to reality and get going! Kama hamtaki mkewe ...he should do the needful....separation and ultimately divorce.There is no point living a lie!

Womanofsubstanc,

Nimekupata na nitafikisha ujumbe.
 
GM, the issue here ni kwamba huyu jamaa hakuwa sexually satisfied na mkewe since day one and he probably married her for all the wrong reasons. Sijui Watanzania tutaamka lini na ku-smell the roses!! Mara nyingi we make wrong choices and end up frustrating our partners.
Thinking of it makes me sick in the stomach maana mara nyingi we have to think what if it were us in the other person's shoes. Kule kusema kwangu kuhusiana na three-some and the like, was a form of sarcasm since ulitoa ujumbe mwanzoni kuwa anaota multiple ex-GFs so I was trying to imagine how was he doing it. Today he dreams of one and the next he dreams of another. That is definitely impossible. Na ndio maana nikatania hivyo na nikasema pia kuwa this must be a recurring dream.
Huyo rafiki yake needed a wakeup call even before he thought of marrying this poor woman who is now a vitim of his own doing. Sijui ataji-redeem vipi kwa huyu dada?? But always the truth sets you free regardless of what the reason.
Separation is the highway to divorce. How does he expect to get back on such flimsy grounds??? Mpe pole mkewe.

Bimkubwa,

Nimekusoma barabara, ila kumpa pole mkewe naweza washa moto bure ambao sitaweza uzima. Thanks!
 
Je huyo jamaa ana muda gani katika hiyo ndoa aliyovunja. Lakini yawezekana alikatili penzi la Binti wa watu akamfungiwa kazi. Hata mimi nilikuwa na rafiki yangu ambaye baada ya kuwowa alishindwa kabisa kuwasahau maex-wake hadi alipokwenda kwa wataalam wakamsaidia.
 
Je huyo jamaa ana muda gani katika hiyo ndoa aliyovunja. Lakini yawezekana alikatili penzi la Binti wa watu akamfungiwa kazi. Hata mimi nilikuwa na rafiki yangu ambaye baada ya kuwowa alishindwa kabisa kuwasahau maex-wake hadi alipokwenda kwa wataalam wakamsaidia.

Chiefmtz,

Ana miaka karibia mitatu katika hiyo ndoa, ila ndio hivyo tena!
 
kweli akufukuzae hakuambii toka ... atakutafutia visa tu .... guy doesnt know how to kill a rat ... kaamua amkimbize amkamate kwanza ajadiliane nae nini chakufanya next ... huyu bwana kama kamchoka mwenziwe amwambiye ukweli si kumuumiza kiasi hicho ... tell him what goes around comes around ... kama hatakuwa muungwana nae yatakuja kumpata
 
Nilipita mahali kwenye kurasa fulani nikaona haya,,, Ndoto ni marudio ya ama yale uliyokwisha yatenda au unayotarajia kutenda,,,, Ingekuwa ni upande wa pili si mtu angepigwa na mwiko,,, hata hivyo jamaa mvumilivu,,, muulize hajarusha ngumi siku aliposikia rafiki yake natajwa kwenye makasheshe?
 
Nilipita mahali kwenye kurasa fulani nikaona haya,,, Ndoto ni marudio ya ama yale uliyokwisha yatenda au unayotarajia kutenda,,,, Ingekuwa ni upande wa pili si mtu angepigwa na mwiko,,, hata hivyo jamaa mvumilivu,,, muulize hajarusha ngumi siku aliposikia rafiki yake natajwa kwenye makasheshe?

Kilawila,

Sijakupata hapa kabisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom