Yaani nimeiangalia ni kali balaa
Daaaah limtandao linazingua YouTube aaaaarg
Yaani nimeiangalia ni kali balaa
Thats good...but..hakuna director zaid ya godfather? ? Mbona kuna video kali zinzozalishwa na director tofaut na huyo??
UKAWA..Nyimbo mbaya to be honest
Hebu tuimbie wewe tuoneNyimbo mbaya to be honest
Mi kwangu uko poa narudia rudia kuiangalia hapa kali balaaDaaaah limtandao linazingua YouTube aaaaarg
Hahaha unaweza kusafiri sasa its officially outIyo nyimbo ya Taifa inapigwa saa ngapi? maana nineshindwa kusafiri leo kusubiria huo wimbo mpya wa AFRICA.