Ajira Idara ya Uhamiaji Tanzania...

uhamiaji waliacha kuchukua professionals kwasababu walikuwa wanakimbia mazoezi. Sasa wanachukua jkt but really,, kwa ushauri omba kwa chet cha form four au six kama unacho. Ukishamaliza kozi ccp ndio unaweza kurelease chet chako cha bachelor degree. Wengi wamefanikiwa mwaka jana kwa njia hiyo wakiwepo walimu.
 
Amani na salaama wanajamvi.

Pole na mgomo wa EFD na mihangaiko ya hapa na pale.

Nauliza je nina sifa za kujiunga na immigration? Namalizia BAED ya UDSM..

Nawasilisha.



Kamishna Mkuu wa idara ya Uhamiaji anatangaza nafasi za kazi katika Idara ya Uhamiaji kwenye vyeo vya Koplo na Konstebo wa uhamiaji.

A: MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI NAFASI 70

1. SIFAZINAZOHITAJIKA

Awe na shahada ya kwanza au Stashahada ya juu kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na serikalikatika fani zifuatazo; Sheria, Uchumi, Biashara,
Utawala, Uandishi wa habari,
Ualimu, Usafirishaji, Rasilimali watu, Sayansi ya kompyuta, Teknolojia ya mawasiliano, Takwimu, Uchapaji, Uhandisi majengo na Uhandisi Mitambo. Awe na umri usiozidi miaka 35

Kila la kheri!
 
Back
Top Bottom