jaman asilimia kubwa ya graduate wengi hawana kaz ili kuwasaidia jaman msichague kaz, kuna ajira za kujiskiza ka customer care hasa kwa tigo, airtel voda na zantel. Kwa kusaidia nenden airtel moroco recruiting agency agency wao ni spanco raps uliza kwa askari atakuelekeza. Wanahitaji wahitimu wa 4m 6 na kuendelea. Kuhusu tigo voda na zantel. Kaz kwenu