Na mimi nilitaka kusema hivyo hivyo...Tumieni akili,uchaguzi mdogo wa madiwani ni mwezi January mwakani.
Kenge huwa hasikii hadi atoke damu masikioniBora utomasso kuliko kujipa matumaini ambayo hayapo
Utashangaa kesho wanakanusha
MhhhhhNasikia mchana huu ajira za walimu na afya Tamisemi wametangaza ni kweli? Au ndo hizi 70,000 wameanza kuzitolea mgawanyo?
Hiyo kazi ya Kairuk na Jaffo....teteteteeeeh
utasikia "tunaomba mzipuuze hizo taarifa ambazo ni za kizushi"
ukisoma hilo gazeti kwenye hizo sifuri mbele kuna tairi la gari huenda msomaji aliongeza tairi la gari akapata laki7Kuna msoma magazeti kasoma ajira laki 7 nikashangaa kweli. Waandishi wengine bhan
a!
Kuongeza rate ya walemavu na wagonjwa MOIHapo hakuna ajira wewe uoni wameanza kugawa boda boda
Uhuru!! hata kama ni kazi ya uwaziri,wacha niikose lakini sio kusoma Uhuru!Ajira za marubani mbona zimetangazwa hata miezi 2 haijapita, jaribu kupita pita ATCL kuna mabadiliko makubwa sana yanaendelea na kama wewe una CV nzuri inayohusu masuala ya Ndega hukosi kazi.
- Tatizo kubwa la vijana wa nchi yetu kutawaliwa na siasa - kujifanya kila mtu mwanaharakati, mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii - Mtu mwenyewe ukimwangalia hana taaluma yoyote wala ufundi wowote mpaka anakaribia kufikia miaka 30.Yaani hata viwanda vikija kujengwa watajaa wahindi tu na wakenya.Wabongo wataambulia kazi ya ulinzi tu ndio wanayoweza.Sasa wewe inawezekana ulijikita kukososa na kutukana panagboi badala ya kuangalia fursa za ajira.
USHAURI:Vijana wenzangu punguzeni kusoma magazeti ya propaganda - angalieni na fursa za kiuchumi, Someni Daily News,Habari Leo,Gazeti la Uhuru,Mwanachi.Sikilizeni TBC.Vituo hivi haviepukiki kwa kijana yoyote anaetaka ujenga msingi mzuri wa mambo yake - Maana mipango mingi ya serikali inachapishwa huku zikiwemo ajira na matangazo mengi muhimu.
- Magazeti na media za propaganda soma,lakini soma ukiwa na akili zako timamu ila Usizidi kiasi.
Kwani hayo mambo siku hizi yapo, me najua kuna system ya utumishi, ambayo una create your account unable upload you certificates basi, application unazifanyia huko mambo hayo photocopy yalishapitwa na wakatiNgoja tutoe copy za kutosha za vyeti pia tupige picha za pasport za kufa mtu
Kila kitu kitajulikanaKwani hayo mambo siku hizi yapo, me najua kuna system ya utumishi, ambayo una create your account unable upload you certificates basi, application unazifanyia huko mambo hayo photocopy yalishapitwa na wakati
Wap wametangaza, tofautisha na magazetMhhhhh
Waluko, nawewe unasubiri ajira? Bora uje ulime mahindi Sumbawanga ....Utashangaa kesho wanakanusha
Yaani wewe unawaambia wenye akili timamu wasome Uhuru ili wapate credible news? Uko sawa kweli?Ajira za marubani mbona zimetangazwa hata miezi 2 haijapita, jaribu kupita pita ATCL kuna mabadiliko makubwa sana yanaendelea na kama wewe una CV nzuri inayohusu masuala ya Ndega hukosi kazi.
- Tatizo kubwa la vijana wa nchi yetu kutawaliwa na siasa - kujifanya kila mtu mwanaharakati, mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii - Mtu mwenyewe ukimwangalia hana taaluma yoyote wala ufundi wowote mpaka anakaribia kufikia miaka 30.Yaani hata viwanda vikija kujengwa watajaa wahindi tu na wakenya.Wabongo wataambulia kazi ya ulinzi tu ndio wanayoweza.Sasa wewe inawezekana ulijikita kukososa na kutukana panagboi badala ya kuangalia fursa za ajira.
USHAURI:Vijana wenzangu punguzeni kusoma magazeti ya propaganda - angalieni na fursa za kiuchumi, Someni Daily News,Habari Leo,Gazeti la Uhuru,Mwanachi.Sikilizeni TBC.Vituo hivi haviepukiki kwa kijana yoyote anaetaka ujenga msingi mzuri wa mambo yake - Maana mipango mingi ya serikali inachapishwa huku zikiwemo ajira na matangazo mengi muhimu.
- Magazeti na media za propaganda soma,lakini soma ukiwa na akili zako timamu ila Usizidi kiasi.