chaggaa15
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 566
- 467
Ivi imetangaza au itaajiri... maana mtaani kuna bachi la mwaka jana na mwaka huuu...Serikali imetangaza ajira 70,000 . Subirini.
Ivi imetangaza au itaajiri... maana mtaani kuna bachi la mwaka jana na mwaka huuu...Serikali imetangaza ajira 70,000 . Subirini.
Kwa walimu na madaktari inawezekana maana huwa wanaajiriwa kwa mkupuoYaani Serikali iajiri watumishi 70,000 kwa mara moja? thubutu! Uchumi wa kuhimili hilo umetoka wapi? Kama hamna data, tafuteni. Angalieni ni kiasi gani Serikali inakusanya kwa mwezi, kisha tafuta wage bill yetu kwa mwezi ili ujue mishahara inakula asilimia ngapi ya pato letu kwa mwezi. Namba huwa hazidanganyi......Acheni kujitekenya na kisha mnacheka wenyewe, mnapotezeana muda bure.
Yote sawa tu.Kenge huwa hasikii hadi atoke damu masikioni
Ukicoment usiquote habari yote mnaboaUhuru!! hata kama ni kazi ya uwaziri,wacha niikose lakini sio kusoma Uhuru!
Unatulipia bando.. 'simu yako?Ukicoment usiquote habari yote mnaboa
huoni aibu nani asome hayo magazeti au unadhani wote ni wa buku 7 kama ww?Ajira za marubani mbona zimetangazwa hata miezi 2 haijapita, jaribu kupita pita ATCL kuna mabadiliko makubwa sana yanaendelea na kama wewe una CV nzuri inayohusu masuala ya Ndega hukosi kazi.
- Tatizo kubwa la vijana wa nchi yetu kutawaliwa na siasa - kujifanya kila mtu mwanaharakati, mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii - Mtu mwenyewe ukimwangalia hana taaluma yoyote wala ufundi wowote mpaka anakaribia kufikia miaka 30.Yaani hata viwanda vikija kujengwa watajaa wahindi tu na wakenya.Wabongo wataambulia kazi ya ulinzi tu ndio wanayoweza.Sasa wewe inawezekana ulijikita kukososa na kutukana panagboi badala ya kuangalia fursa za ajira.
USHAURI:Vijana wenzangu punguzeni kusoma magazeti ya propaganda - angalieni na fursa za kiuchumi, Someni Daily News,Habari Leo,Gazeti la Uhuru,Mwanachi.Sikilizeni TBC.Vituo hivi haviepukiki kwa kijana yoyote anaetaka ujenga msingi mzuri wa mambo yake - Maana mipango mingi ya serikali inachapishwa huku zikiwemo ajira na matangazo mengi muhimu.
- Magazeti na media za propaganda soma,lakini soma ukiwa na akili zako timamu ila Usizidi kiasi.
Kuwaitnchi gani hiyo?
Kwanini?Ukicoment usiquote habari yote mnaboa
Wakalinde madawati si unajua yakiharibika wanalipaWaalimu wanaajiriwa hii desenber wakamfundishe nani?
Hivi Dada samahani hivi na we ni muhanga wa ajira?Wakalinde madawati si unajua yakiharibika wanalipa
Hapana ndugu, mi ni muajiriwa ila nawakumbuka tu wenye shida zaidi yangu mieHivi Dada samahani hivi na we ni muhanga wa ajira?
OK, maana we na nkanga chief hizi mada lazima mchangie karibu mwaka sasa huu unaisha.Hapana ndugu, mi ni muajiriwa ila nawakumbuka tu wenye shida zaidi yangu mie
Ha ha ha ha ha ha haOK, maana we na nkanga chief hizi mada lazima mchangie karibu mwaka sasa huu unaisha.