KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,584
- 8,606
Nina uhakika hili la ajari halitaisha kwa serikali hii!!
Kwanza serikali kupitisha sheria ya kununua vitu vilivyotumika (chakavu) Yale yalikuwa ni makosa makubwa!! Huwezi kumtuma mtu ambae ajala siku tano ukampa bakuli la ubwabwa apeleke kwa mgonjwa wakati yeye ajala!!lazima atadokoa...!!
Kwa misingi hiyo...Ajali,Meli,ngege,Zitakuwa nyingi hasa kwenye taasisi zinazomilikiwa na serikali!
Kwanza serikali kupitisha sheria ya kununua vitu vilivyotumika (chakavu) Yale yalikuwa ni makosa makubwa!! Huwezi kumtuma mtu ambae ajala siku tano ukampa bakuli la ubwabwa apeleke kwa mgonjwa wakati yeye ajala!!lazima atadokoa...!!
Kwa misingi hiyo...Ajali,Meli,ngege,Zitakuwa nyingi hasa kwenye taasisi zinazomilikiwa na serikali!