Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Vikosi vya uaokoaji kutoka Afrika Kusini wamesema wameshindwa kufikia Meli iliyozama kutoka na kina kirefu.
Waokoaji wamesema Meli hiyo ipo kwenye kina kirefu cha Mita mia 300 wakati vikosi hivyo uwezo wake ni kufika Mita 54 tu.
Wamesema itabidi waite Nyambizi kubwa kutoka Afrika Kusini ndio yenye uwezo wa kufanya kazi hiyo
SOURCE: TBC HABARI
Waokoaji wamesema Meli hiyo ipo kwenye kina kirefu cha Mita mia 300 wakati vikosi hivyo uwezo wake ni kufika Mita 54 tu.
Wamesema itabidi waite Nyambizi kubwa kutoka Afrika Kusini ndio yenye uwezo wa kufanya kazi hiyo
SOURCE: TBC HABARI