Dah! Inauma sanawatanzania hatuna wa kutusaidia, tunakufa na maiti zinaliwa na samaki, haya bana!
<br />Mheshimiwa Seif Iddi amelewa madaraka na fedha za misaada yaani kitendo cha kusema meli itakuwa kaburi lao huku akiwa anachekelea ni kibaya na lugha yake haijavaa Condomu kabisa. wafanye sensa ya maiti zilizopotea.
<br /> <br / Jaribu kutumia akili mkuu!Naskia kuna watu bado wako huko kwenye meli wanapiga cmu
<br />Kwa hiyo ni wangapi wamepotea na meli huko chini ya bahari kwenye huo mkondo wa nungwi! Mungu tujaze hekima.
<br />Kuna post moja humu inasema kuwa Serikali imesimamisha makusudi utafutaji wa maiti katika meli iliyozama kwa "sababu ya kuficha aibu, na uzembe wao".<br />
<br />
Kwa kiasi kikubwa ninakubaliana na hoja hii kwa sababu, ikiwa S.Afrika haina uwezo, nchi nyengine zenye uwezo zipo na kama wakiomba msaada wanaweza kufanya. Kuna nyamizi nyingi tu ulimwenguni zilizama na maiti au waliokuwemo kuokolewa.<br />
<br />
Kwa kusema tu kuwa imeshindikana haitoshi kwani hawajachukua juhudi zote. Maiti zinaweza zisipatikane, lakini kumbukumbu za waliopoteza watu wao zitabaki milele, hasa wakielewa kuwa kuna uzembe umepita.