Ajali Tanzania: Mawazo mbadala kuhusu udhibiti wa ajali Tanzania

Kwa kuwa ajali za kutisha hasa za mabasi ya abiria zinazidi kuteketeza maisha ya Watanzania kuna haja jeshi la polisi baada ya mabadiliko ya sheria za barabarani litumie askari wake kuendesha magari haya ya abiria badala ya madereva wa kiraia wanaovunja sheria za barabarani kila siku hali inayosababisha kutokea ajali hizi kila siku.

Ninatumaini makamanda wa polisi wa kila mkoa wataweka utaratibu wa askari wao kuendesha mabasi haya ya abiria.Ni ukweli usiopingika iwapo askari wakitumika kuendesha mabasi ya abiria uwezekano wa kutokea ajali ni mdogo.Utaratibu huu uwekwe kwa magari ya njia ndefu na mwendo uwe kilometa 50 kwa saa.

Hivyo jeshi la polisi lifanye mazungumzo na wamiliki wa magari ili wawaachie jukumu la udereva wa mabasi yao ili kupunguza ajali.

Hii SASA ITAKUWA NI GENZAULOLE.
 
Hizi ajira zilivo kuwa ngumu.

Bora iwe hivi hivi watafute tu utaratibu mzuri wakutafuta suluhisho la kuzuia ajali.
 
Hao polisi wa uendesha ma bus utawatoa wapi ? hawa hawa wa Kamanda Mpinga wala rushwa wasiojali maisha yetu au utawatoa FFU ?
 
Km 50kwa saa .ikiwa hivyo dar mwanza ni masaa zaidi ya ishirini ;hii itakuwa haijakaa sawa

na arusha mbeya itakuwa mangapi sasa maana kwa mwendo huu tu wa sasa gari zinatumia kama masaaa 19 ivi sasa si zitakuwa zinatoboa hadi siku ya pili kweli.

huyu jamaa kavurugwa kwali 50km kwa saa ni chache sana
 
Vipi kama kila basi la abiria likapewa askari mmoja kama observer.
Hili swala ni tata sana wadau.!!!
Sijui mabasi yafungwe cctv loh ssalaaaleeee!
 
Kwa kuwa ajali za kutisha hasa za mabasi ya abiria zinazidi kuteketeza maisha ya Watanzania kuna haja jeshi la polisi baada ya mabadiliko ya sheria za barabarani litumie askari wake kuendesha magari haya ya abiria badala ya madereva wa kiraia wanaovunja sheria za barabarani kila siku hali inayosababisha kutokea ajali hizi kila siku.

Ninatumaini makamanda wa polisi wa kila mkoa wataweka utaratibu wa askari wao kuendesha mabasi haya ya abiria.Ni ukweli usiopingika iwapo askari wakitumika kuendesha mabasi ya abiria uwezekano wa kutokea ajali ni mdogo.Utaratibu huu uwekwe kwa magari ya njia ndefu na mwendo uwe kilometa 50 kwa saa.

Hivyo jeshi la polisi lifanye mazungumzo na wamiliki wa magari ili wawaachie jukumu la udereva wa mabasi yao ili kupunguza ajali.

Na tiketi zote zikatwe vituo vya polisi,ikiwezekana pia abiria wapewe helmet.
 
Waulize polis kwa mini wakisimamisha basi dereva Na konda hushuka Na huzunguka nyuma hivi huko NGO injini ya ukauguzi Ndo ilipo
 
Kwa hali hii mkoa wa mbeya utachukua miaka kuendelea, nahisi utakuwa unasokota msokoto wa pili,na sisi huku matorori hapa stendi yanatupa shida,tupendekeze maafande wa geshi la polisi wayaendeshe pamoja na zile BAISKELI ZA SHINYANGA
 
Waulize polis kwa mini wakisimamisha basi dereva Na konda hushuka Na huzunguka nyuma hivi huko NGO injini ya ukauguzi Ndo ilipo

hahahaaaaa! Aisee kweli! Huyu jamaa anataka polis wafe maskin.
 
mtoa maada serikali ikifanya hvyo ujue hata uchumi wa nchi utashuka...
Hivi umewahi kujiuliza kwann kitengo cha trafic hakifuatiliwi na serikali pamoja na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi?
Askari wa trafic huingiza pesa nyingi sana serikalin zaidi hata kuliko TRA. Nakupa sample hii.
Kila trafic kwasiku lazma aandikishe makosa matatu ya barabaran ambayo yanatakiwa kutozwa fain ya tsh. 30000. Kwamaana hyo kila trafik lazma aingize shilingi elf 90 kwa siku. Hyo ni lazma. Ukiachilia mbali mengne ambayo anaweza kuzidisha. Hebu piga hesabu kuna trafic wangap Tz hii?
 
Kwa kuwa ajali za kutisha hasa za mabasi ya abiria zinazidi kuteketeza maisha ya Watanzania kuna haja jeshi la polisi baada ya mabadiliko ya sheria za barabarani litumie askari wake kuendesha magari haya ya abiria badala ya madereva wa kiraia wanaovunja sheria za barabarani kila siku hali inayosababisha kutokea ajali hizi kila siku.

Ninatumaini makamanda wa polisi wa kila mkoa wataweka utaratibu wa askari wao kuendesha mabasi haya ya abiria.Ni ukweli usiopingika iwapo askari wakitumika kuendesha mabasi ya abiria uwezekano wa kutokea ajali ni mdogo.Utaratibu huu uwekwe kwa magari ya njia ndefu na mwendo uwe kilometa 50 kwa saa.

Hivyo jeshi la polisi lifanye mazungumzo na wamiliki wa magari ili wawaachie jukumu la udereva wa mabasi yao ili kupunguza ajali.

Traffic akiendesha basi atakuwa na cheo cha dreva wa basi na ataweza kusababisha ajali pia! Kwa sababu watumia barabara ni wengi ambao wanaweza kuponza dreva wa basi. Barabara zetu ni kichocheo cha ajali pia. Nchi zenye barabara muafaka kupunguza ajali mabasi yanaenda kasi pengine kuliko Tz, lakini ajali kama zetu ni chache. Tuboreshe barabara na sio kuajiri polisi!
 
mtoa maada serikali ikifanya hvyo ujue hata uchumi wa nchi utashuka...
Hivi umewahi kujiuliza kwann kitengo cha trafic hakifuatiliwi na serikali pamoja na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi?
Askari wa trafic huingiza pesa nyingi sana serikalin zaidi hata kuliko TRA. Nakupa sample hii.
Kila trafic kwasiku lazma aandikishe makosa matatu ya barabaran ambayo yanatakiwa kutozwa fain ya tsh. 30000. Kwamaana hyo kila trafik lazma aingize shilingi elf 90 kwa siku. Hyo ni lazma. Ukiachilia mbali mengne ambayo anaweza kuzidisha. Hebu piga hesabu kuna trafic wangap Tz hii?

hizo 90 za serikali bado zako unazopokea nyuma ya gari....ah ah umetisha mkuu
 
Back
Top Bottom