samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
nimewahi kuripoti hapa juu ya mwendo kasi na ukosefu wa mikanda ya usalama. nikapuuzwa, sasa matokeo yake yake ndio hayo. ivi gari linaenda na kurudi dar to lushoto sumatra mpo wapi? servece inafanyika wakati gani?