Ajabu: Tangu 2014 Simba SC hawajawahi ifunga Yanga SC

1474729553038.jpg
 
ila kwanza nijue muktadha wa huu uzi kwa maana kila tukikumbushia 6-0 mnasema XXXXX YA KALE HAYANUKI.........Hapo sijarudi kwenye 5-0

Maajabu hapo ni kwamba YANGA tangu ianzishwe haijawahi kuifungu Simba KAPU kama hilo......na ndio asili ya wana Yanga wengi kuwa wavuvi na makapu yao na ukitaka kuthibitisha hilo bahatika kukatiza kwenye mkutano wao utakuta baiskeli nyingi na makapu nyuma wakijikumbusha KAPU LA MAGOLI
 
Heshima kwenu wakuu,

Yaani kila Mwanasimba ninayemuuliza mara ya Mwisho mumeifunga yanga lini, wanaishia kurusha kejeli na kumsema Jerry Muro.

Lakini ukweli ni kwamba Simba si chochote si lolote mbele ya Yanga SC. Hii ni aibu kwa timu inayojiita ya kimataifa kushindwa kuifunga yanga Tangu enzi hizo hata Rais Magufuli hajawa rais hadi sasa ni rais lakini mumeshindwa Ifunga Yanga.

Kelele Simba wanazopiga ni za nini? au za kuifunga Ndanda na stand united?

Namomba kujua Simba wanajivunia nini hasa hadi tunashindwa kulala usiku sababu ya makelele yao

Tukutane Oktoba mosi Mikia
 
Yanga siku hizi wamekua malaya sana ndo maanda hata simba hawamtaki tena huyu mwanamke akitekenywa kule anakuja kwa simba oooooh nataka tano sasa na sisi tumeghair kupiga vitano
 
Kumbe we ni mshabiki wa timy za bongo haswa upo yanga...!! Kwani we umeifunga hiyo simba mara ngapi toka 2014 kama sio mara moja tu na droo kibao...hufatilii mpira kumbe !! Napita tu ngoja niende nikalike picha za POGBA
 
simba bwana..hvi kuifunga yanga ndo mmebeba ndoo?,zaid ya miaka 3 hamna ubingwa wowote ule bado mnachonga aisee oneni aibu na mjitafakar sio kelele za kuifunga majimaji
 
simba bwana..hvi kuifunga yanga ndo mmebeba ndoo?,zaid ya miaka 3 hamna ubingwa wowote ule bado mnachonga aisee oneni aibu na mjitafakar sio kelele za kuifunga majimaji
Waulize majimaji
 
Heshima kwenu wakuu,

Yaani kila Mwanasimba ninayemuuliza mara ya Mwisho mumeifunga yanga lini, wanaishia kurusha kejeli na kumsema Jerry Muro.

Lakini ukweli ni kwamba Simba si chochote si lolote mbele ya Yanga SC. Hii ni aibu kwa timu inayojiita ya kimataifa kushindwa kuifunga yanga Tangu enzi hizo hata Rais Magufuli hajawa rais hadi sasa ni rais lakini mumeshindwa Ifunga Yanga.

Kelele Simba wanazopiga ni za nini? au za kuifunga Ndanda na stand united?

Namomba kujua Simba wanajivunia nini hasa hadi tunashindwa kulala usiku sababu ya makelele yao
Iliwachukua yanga siku 900 na magoli zaidi ya 20 kuja kuifunga simba

Muache kauli za kimalaya
 
Back
Top Bottom