Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,029
- 8,637
Heshima kwenu wakuu,
Yaani kila Mwanasimba ninayemuuliza mara ya Mwisho mumeifunga yanga lini, wanaishia kurusha kejeli na kumsema Jerry Muro.
Lakini ukweli ni kwamba Simba si chochote si lolote mbele ya Yanga SC. Hii ni aibu kwa timu inayojiita ya kimataifa kushindwa kuifunga yanga Tangu enzi hizo hata Rais Magufuli hajawa rais hadi sasa ni rais lakini mumeshindwa Ifunga Yanga.
Kelele Simba wanazopiga ni za nini? au za kuifunga Ndanda na stand united?
Namomba kujua Simba wanajivunia nini hasa hadi tunashindwa kulala usiku sababu ya makelele yao
Majimaji kwa sasa sio timu ya kujinasibu ukiifunga..tena taifa. Inapigwa na kila timu...wengine hadi 6.
Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
Tukutane Oktoba mosi Mikia
Kuuzwakuuzwa na kukodishwa kipi bora?
Waulize majimajisimba bwana..hvi kuifunga yanga ndo mmebeba ndoo?,zaid ya miaka 3 hamna ubingwa wowote ule bado mnachonga aisee oneni aibu na mjitafakar sio kelele za kuifunga majimaji
Iliwachukua yanga siku 900 na magoli zaidi ya 20 kuja kuifunga simbaHeshima kwenu wakuu,
Yaani kila Mwanasimba ninayemuuliza mara ya Mwisho mumeifunga yanga lini, wanaishia kurusha kejeli na kumsema Jerry Muro.
Lakini ukweli ni kwamba Simba si chochote si lolote mbele ya Yanga SC. Hii ni aibu kwa timu inayojiita ya kimataifa kushindwa kuifunga yanga Tangu enzi hizo hata Rais Magufuli hajawa rais hadi sasa ni rais lakini mumeshindwa Ifunga Yanga.
Kelele Simba wanazopiga ni za nini? au za kuifunga Ndanda na stand united?
Namomba kujua Simba wanajivunia nini hasa hadi tunashindwa kulala usiku sababu ya makelele yao