Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Nimenunu ile bundle ya sh. 3000 kwa siku na nikapewa MB300 kwa siku nzima. Nimenunu saa moja jioni na kutumia usiku hadi saa tano nikacheki balance bado kulikuwa na MB120. Sasa nimeamka asubuhi ku-connect kitu kinakataa ati sina salio. Kwa nijuavyo mimi siku ina saa 24. Leo nimenunua tena asubuhi nataka nione kitaishia wapi.