MTAMBOKITAMBO
Senior Member
- Jun 2, 2011
- 194
- 39
Ndio,mwanzoni nilidhani ni matapeli, kumbe ni kweli!!!!
Trick wanayotumia ni kukuambia ongeza salio na upate 200mb za internet bure kuanzia saa 6 usiku-saa 12 asubuhi!Suala ni kwamba sio lazima uongeze salio ndio upate hizo MB za bure!Cha msingi ni usijiunge na INTERNET BUNDLE yeyote na hizo 200mb zitakuwa zako kila usiku!!!!!!!
We ikifika saa 6 usiku chomeka modem yako na line ya Airtel na fanya mambo yako!!!!!!!!!!!
Arigato!
Ukisaidiwa,gonga THANKS wajameni!
Trick wanayotumia ni kukuambia ongeza salio na upate 200mb za internet bure kuanzia saa 6 usiku-saa 12 asubuhi!Suala ni kwamba sio lazima uongeze salio ndio upate hizo MB za bure!Cha msingi ni usijiunge na INTERNET BUNDLE yeyote na hizo 200mb zitakuwa zako kila usiku!!!!!!!
We ikifika saa 6 usiku chomeka modem yako na line ya Airtel na fanya mambo yako!!!!!!!!!!!
Arigato!
Ukisaidiwa,gonga THANKS wajameni!