MTAMBOKITAMBO
Senior Member
- Jun 2, 2011
- 194
- 39
- Thread starter
- #21
Kulala unalala wewe,pesa hailali!Siyo watu wote usiku wanalala, wengine usiku ndio muda mzuri kwetu kufanya kazi kwa utulivu zaidi.
Kulala unalala wewe,pesa hailali!Siyo watu wote usiku wanalala, wengine usiku ndio muda mzuri kwetu kufanya kazi kwa utulivu zaidi.
Hahah!Ongeza line mkuu full kutoboaaaaa!SIKIONI, KITUFE CHA THANX ila much thax 2 U. Ni mwendo wa kutoboa, wana ISS wananixoma
Hamna hauko pekee yako mie jana niliamkaa saa kum na moja nmikatumia mpaka saa mbili... leo ilikata saa moja hv yani furuuu rahaaaHeh,jaman leo sabasaba net bure mpka muda huu Airtel!Doh,ama ni mimi tu?