Na linakamua hadi masaa 15 bila kutua popoteAsee hili dude ni kubwa hadi linatisha, lakini bado linayeya vizuri kabisa usawa wa mawinguni. Mzungu fundi
Na linakamua hadi masaa 15 bila kutua popoteAsee hili dude ni kubwa hadi linatisha, lakini bado linayeya vizuri kabisa usawa wa mawinguni. Mzungu fundi
Mnaulizana nini nyie watu?Ndio.
Kama iliweza kutua,itaruka tu hata kupitia road la g/mboto itaruka kwa dharura pia.Issue kuruka sasa
Imetua kwa Dharura sio Zarura. Zarura sio neno la Kiswahili.
Kwa kweli Magufuli anastahili hongera
Huku sio uwanja mdogo.Ila hawana route ya kuifanya kuja huku.Hayo ni maneno tu ya watu wasiojua masuala ya ndege.Aisee! wamejitahidi sana,kwa watu wanaosafiri sana wanaijua hii ndege huwa tunaenda kuipandia Beijing...huku huwa tunaambiwa uwanja mdogo leo imetua!
Ile ilikuwa Boeing 767-300hivi ile ethiopian airline iliyokiwa itue kia badala yake ikatua arusha ni 380?
ilishatua hapo zamani enzi za RichmondAntonov 255 Mrina
Antonovu Mrina au Annex Mrina pale kaloleni arusha?Huku sio uwanja mdogo.Ila hawana route ya kuifanya kuja huku.Hayo ni maneno tu ya watu wasiojua masuala ya ndege.
Hata ingekuwa ndege aina ya Antonov 255 Mrina, ingetua tu.Na ndio ndege kubwa kwa sasa duniani.Ni ndege ya mizigo.
Hatari sana ilo pipailishatua hapo zamani enzi za Richmond
Emergency landingA380 imetua JNIA kwa dharura kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya huko Mauritus ilikokuwa ikielekea.
---------
Ndege kubwa aina ya Airbus A380 mali ya Shirika la Ndege la Emirates imetua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) uliopo jijini Dar es Salaam, baada ya kushindwa kutua Mauritius kutokana na hali mbaya ya hewa.
kabisa hataa asipotuambia zilipo 1.5 trlnKwa kweli Magufuli anastahili hongera
Sababu tulikuwa hatuna bombardier,Siku hizi kwa nini haziji mpaka tukapandie Nairobi au Cairo?
on testEmergency landing