Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Sasa anamaana gani kuiweka hapa kihivyo, huoni inauchochezi fulani ndugu yangu?
Ninakupata kabisa Next Level, na ndiyo maana hapo mwanzo nikakuuliza kuwa kwanini upandwe na mzuka iwapo dhamira yake kama ulivyo ainisha ndiyo hiyo?... Ndiyo maana huwa narudia rudia swali langu kuwa; iwapo unayetaka kubisha naye amekusudia kubisha mpaka mmoja wenu anaondoka/kufa, je ni busara kuendeleza mabishano naye? Hii haimaanishi kuwa najua lengo la thread hii, bali nataka kuelezea tu kuhusiana na pale tunapopandwa na mizuka ili kukabiliana na majaribu kutoka kwa wenzetu.