Uk wasitishe hiyo misaada tuone kama tuna uwezo wa kufikiria nje ya misaada
Kwa uelewa wangu huu mtihani ulifutwa miaka michache iliyopita,unarudishwa tena mwaka huu sababu kubwa ni matokeo mabovu ya kidato cha nne mwaka jana ambako takribani nusu ya watahiniwa walipata division 0. Sababu kubwa ilidaiwa ni kuondolewa kwa huo mtihani.
Jamani hili swala watu wanaweza kulichukulia kimzaamzaa, inasemekana serikali ipo taabani sana kifedha. TRA wanakusanya pesa kidogo sana(Uchumi umedorora), kuna nyepesi nyepesi kwamba katika bajeti ya mwaka huu ni fungu moja tuu ndiyo linapata pesa za OC kama walivyoomba na fungu hilo ni Fungu namba 20, wanaofanya serikalini wanafahamu Fungu namba20 ni Ikulu. Wengine woote wana Haha namna ya kuziendesha ofisi zao. Juzi nimepita maeneo ya TFDA nikamsikia mkaka mmoja anataka kuacha kazi anasema hawajapata OC toka mwezi wa nane, anadai ufanyaji wa kazi umekuwa mgumu sana. Nilipita maeneo ya Wizara ya nishati nikamsikia mtu analalamikia kutokuwa na Vitendea kazi kama Stationaries sababu kubwa ikiwa ni kutokupata OC. Kuna jamaa naye yupo serikalini nimesikia anahaha kwamba almanusura mwezi huu wasipate mshahara anadai amepata mshahara wake wa October jana tarehe3 November Sijui watakuwa wamekopa tena Exim?????Taarifa kutoka kwa walimu wakuu wa shule za sekondari na wasimamizi wa mitihani wa Kanda ya Mashariki iliyofanyika jana katika shule ya sekondari ya Kilakala, wameelezwa kuwa TAMISEMI wametoa pesa kidogo sana ambazo hazitoshelezi uendeshaji wa mitihani hiyo. Hata wanasema hao walikaa kwenye semina hiyo hata bila ya kupata maji ya 200 ya kunywa, chai wala chakula.
Wakuu wa shule za Manispaa wameelezwa kuifata mitihani hiyo kwa usafiri wa kujitafutia wenyewe walielezwa na Afisa Elimu Manispaa hiyo kuwa hana pesa ya mafuta kusambaza mitihani hiyo. Hakutakuwa na pesa za kulipa wasimamizi wasaidizi na wakuu wa shule kutoka serikalini.
Dalili zinaonesha kuwa usiri wa mitihani huenda ukawa mdogo sana.
Huenda ikavuja sana.
jk akipunguza safari zake za nje mbili tu mitihani inaweza chapishwa,hii nchi cjui Mungu atatusaidiaje tuondokane na umasikini huuView attachment 40556
liiiiiiiiiini???????????????Tutafika Tu
Mkuu nlipokuwa nasoma masikitiko yako na huruma juu ya yiyo shule, mwishoni nimejikuta navunjika mbavu baada ya kusoma ''NA MWL WAO ATAINGIA MBINGUNI" du!ni shule ya wapi hii? hakika nimesikitika mno.Nape kaiona? maana yuko mstari wa mbele kueleza mafanikio yao binafsi ya miaka 50 ya uhuru. nawapa pole hawa watoto na kuwatia moyo kwa hali hiyohiyo wasome kwa bidii na mwalimu wao ataingia mbinguni
Ndo tanzania hiyo kikwete yuko bze kwenda kubembea'pinda hana sauti'membe na ghadaf na ushoga'mkullo hajui kwanin thaman ya sh inaporomoka'sitta yuko bize na visasi'shukuru kawamba kasema serikal haina hata ela za mikopo kwa watz'spika wa bunge yuko bize na cdm'nadhona yuko bize na lema'
hakuna hata kiongoz mmoja wenye interest na taifa
Taarifa kutoka kwa walimu wakuu wa shule za sekondari na wasimamizi wa mitihani wa Kanda ya Mashariki iliyofanyika jana katika shule ya sekondari ya Kilakala, wameelezwa kuwa TAMISEMI wametoa pesa kidogo sana ambazo hazitoshelezi uendeshaji wa mitihani hiyo. Hata wanasema hao walikaa kwenye semina hiyo hata bila ya kupata maji ya 200 ya kunywa, chai wala chakula.
Wakuu wa shule za Manispaa wameelezwa kuifata mitihani hiyo kwa usafiri wa kujitafutia wenyewe walielezwa na Afisa Elimu Manispaa hiyo kuwa hana pesa ya mafuta kusambaza mitihani hiyo. Hakutakuwa na pesa za kulipa wasimamizi wasaidizi na wakuu wa shule kutoka serikalini.
Dalili zinaonesha kuwa usiri wa mitihani huenda ukawa mdogo sana.
Huenda ikavuja sana.
Uk wasitishe hiyo misaada tuone kama tuna uwezo wa kufikiria nje ya misaada
Jamani uchumi wa dunia umeyumba. Haya yanayotokea Tanzania pia yanatokea kwenye nchi za wenzetu. Hakuna sababu ya kuitupia serikali lawama kwa kila kitu. Tupevuke akili na tuangalie mambo kwa mapana zaidi. Imekuwa ni hulka ya JF kuishutuma serikali na viongozi wake wa juu kwa kuwatupia lawama na kejeli. Hivi ina maana hakuna jambo jema hata moja ambalo serikali tawala imetenda kwa wananchi wake?. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Ndo tanzania hiyo kikwete yuko bze kwenda kubembea'pinda hana sauti'membe na ghadaf na ushoga'mkullo hajui kwanin thaman ya sh inaporomoka'sitta yuko bize na visasi'shukuru kawamba kasema serikal haina hata ela za mikopo kwa watz'spika wa bunge yuko bize na cdm'nadhona yuko bize na lema'
hakuna hata kiongoz mmoja wenye interest na taifa