Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 3,949
- 5,980
jk akipunguza safari zake za nje mbili tu mitihani inaweza chapishwa,hii nchi cjui Mungu atatusaidiaje tuondokane na umasikini huuView attachment 40556
Hii sasa ni balaa, mbona pesa za kusherehekea miaka 50 ya uhuru zipo?
jk akipunguza safari zake za nje mbili tu mitihani inaweza chapishwa,hii nchi cjui Mungu atatusaidiaje tuondokane na umasikini huuView attachment 40556
Uk wasitishe hiyo misaada tuone kama tuna uwezo wa kufikiria nje ya misaada
Uk wasitishe hiyo misaada tuone kama tuna uwezo wa kufikiria nje ya misaada
Ndo tanzania hiyo kikwete yuko bze kwenda kubembea'pinda hana sauti'membe na ghadaf na ushoga'mkullo hajui kwanin thaman ya sh inaporomoka'sitta yuko bize na visasi'shukuru kawamba kasema serikal haina hata ela za mikopo kwa watz'spika wa bunge yuko bize na cdm'nadhona yuko bize na lema'
hakuna hata kiongoz mmoja wenye interest na taifa
Mtihani wa FORM TWO una faida gani? mbona vilaza wote huenda hadi FORM FOUR. Bora wakose hiyo fedha maana hauna faida wala sijui wanapima nini na halafu iweje.
huu mtihani una umuhimu gani si ungefutwa tu. Kuna shule moja ya kata huko mkuranga mwaka jana ilikuwa na mwalimu mmoja tu tena wa kujitolea ilifaulisha wanafunzi wote kwenda kidato cha tatu. Huyu mwalimu inavyoonekana ana kipaji cha kufundisha, darasa zima linafaulu du.!!!
Taarifa kutoka kwa walimu wakuu wa shule za sekondari na wasimamizi wa mitihani wa Kanda ya Mashariki iliyofanyika jana katika shule ya sekondari ya Kilakala, wameelezwa kuwa TAMISEMI wametoa pesa kidogo sana ambazo hazitoshelezi uendeshaji wa mitihani hiyo. Hata wanasema hao walikaa kwenye semina hiyo hata bila ya kupata maji ya 200 ya kunywa, chai wala chakula.
Wakuu wa shule za Manispaa wameelezwa kuifata mitihani hiyo kwa usafiri wa kujitafutia wenyewe walielezwa na Afisa Elimu Manispaa hiyo kuwa hana pesa ya mafuta kusambaza mitihani hiyo. Hakutakuwa na pesa za kulipa wasimamizi wasaidizi na wakuu wa shule kutoka serikalini.
Dalili zinaonesha kuwa usiri wa mitihani huenda ukawa mdogo sana.
Huenda ikavuja sana.
Uk wasitishe hiyo misaada tuone kama tuna uwezo wa kufikiria nje ya misaada