Comi JF-Expert Member Oct 2, 2011 3,328 955 Jun 2, 2012 #1 Hebu fukiria kwa makini,leo hii tukiisha uchaguzi mkuu je ni wabunge wapi watakaochaguliwa majimboni. Tuweke ushabiki pembeni
Hebu fukiria kwa makini,leo hii tukiisha uchaguzi mkuu je ni wabunge wapi watakaochaguliwa majimboni. Tuweke ushabiki pembeni
Alvin Slain JF-Expert Member Aug 30, 2011 6,375 3,655 Jun 2, 2012 #2 Tukiitisha na sio tuiisha sasa hv hakuna uchaguz mpaka 2015 ndo ulete uzi hapa
Comi JF-Expert Member Oct 2, 2011 3,328 955 Jun 2, 2012 Thread starter #3 Elewa tukiitisha ina maana ni uchaguzi ambao haujategemewa bado ila kwa mwaka 2012 ni kwamba uchaguzi ujao ................
Elewa tukiitisha ina maana ni uchaguzi ambao haujategemewa bado ila kwa mwaka 2012 ni kwamba uchaguzi ujao ................
Codon JF-Expert Member Dec 16, 2011 628 93 Jun 2, 2012 #4 Apolonary said: Tukiitisha na sio tuiisha sasa hv hakuna uchaguz mpaka 2015 ndo ulete uzi hapa Click to expand... Chaguzi mbona zinatokea majimboni!Mfano Igunga,Arumeru na nadhani Arusha mjin soon!
Apolonary said: Tukiitisha na sio tuiisha sasa hv hakuna uchaguz mpaka 2015 ndo ulete uzi hapa Click to expand... Chaguzi mbona zinatokea majimboni!Mfano Igunga,Arumeru na nadhani Arusha mjin soon!
Alvin Slain JF-Expert Member Aug 30, 2011 6,375 3,655 Jun 2, 2012 #5 Codon said: Chaguzi mbona zinatokea majimboni!Mfano Igunga,Arumeru na nadhani Arusha mjin soon![HAPA TUNAZUNGUMZIA UCHAGUZI MKUU NDUGU NA SIO UCHAGUZ MDOGO Click to expand...
Codon said: Chaguzi mbona zinatokea majimboni!Mfano Igunga,Arumeru na nadhani Arusha mjin soon![HAPA TUNAZUNGUMZIA UCHAGUZI MKUU NDUGU NA SIO UCHAGUZ MDOGO Click to expand...
Comi JF-Expert Member Oct 2, 2011 3,328 955 Jun 2, 2012 Thread starter #7 Mamndenyi said: Aibu ya chama cha nape. Click to expand... je ni kwa kipimo kipi kaka