kawaida bongo......washangaa nini?
s1806 yusuf makamba secondary schooltatizo la tz watu wanapenda kukimbilia kubatiza vitu mbali mbali majina ya viongozi lakini kiukweli hali halisi inatia aibu...huo ni mwendelezo tu vipi kuhusu shule kibao za sekondari zenye majina ya viongozi zilivyotokota kwenye matokeo ya kidato cha 4???
s1806 yusuf makamba secondary school
div-i = 2 div-ii = 4 div-iii = 19 div-iv = 113 fld = 314
s3561 salma kikwete secondary school
div-i = 3 div-ii = 8 div-iii = 27 div-iv = 119 fld = 150
Check- in desks at London Heathrow Terminal 5
Check-in desks at Adelaide Airport majuu raha sana.....
hope na yetu ikikamilika itakuwa kama hizi..