Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
una maana gani unaposema shinikizo toka juu kwa manufaa ya walio juu
Wale majambazi waliowavamia watalii na kufanikiwa kuiba/kuua walishakamatwa siku nyingi vipi kuhusu hawa waliomdhuru Dkt Ulimboka mbona hakuna hata mmoja aliekamatwa walau hata kwa kuhojiwa tu?,wewe inakuingia akilini kweli au unanichungulia!!!!Bunge linazuiwa kujadili mgomo Wa Madaktari(tunaoathirika ni sisi walalahoi)upande wa pili Serikali nayo inawatimua kazi madokta/inawafutia leseni vipi wewe hujiuluzi wewe mwenyewe kwa nini Serikali inajitahidi/inatumia nguvu
sana kulificha suala hili la mgomo Wa madaktari?