FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
- Thread starter
- #21
Hivi inamaana hakuna ardhi kabisa huko au..?! i don believe this..!watu karibu 250,000 wanaishi humo...
Hivi inamaana hakuna ardhi kabisa huko au..?! i don believe this..!watu karibu 250,000 wanaishi humo...
Ukiangalia manzese na tandale ni kama oysterbay niweza kusema ukilinganisha hizo sylum ya kENYA au ya NIGERIA ukiangalia Manzese na tandale kuna nyumba za maan japo si zote zipo mbov lkn ni bora zina hitajika serekal kuwatengenezea miundo mbinu tu .lkn hizo Kibera cjui na huko NiGERIA hata serikali yao imeshindwa ianzie wapi.Hebu tuwekeen na picha za kwetu kule manzese, tandale yombo n.k
Until kiama, afrika itakuwa bado sanaView attachment 388331 View attachment 388332 View attachment 388333 View attachment 388334 hapo vipi???
Africa we have a long way to go.
Ndiyo maana walihamisha makao makuu yao wakayapeleka Abuja. Weka picha za Abuja.Aisee...! kuna binadamu wanaishi humo majini?!
China ulikuwa na sehemu kama hizi. Ndani ya miaka 30 zilipotea. Ni nia na kuondokana na uvivu na ubabaidhaji aka Uswahili.Until kiama, afrika itakuwa bado sana
mkuu,tatizo unakariri vitu au bado uko mkoani unalima, Dar imeendelea katika kipindi cha miaka 10 iliyopita picha zinajinonesha.Hehehe mnafananisha lagos na dar kweli!!?
lagos level nyingine kabisa
Wacheni utani
Amekariri vibaya!mkuu,tatizo unakariri vitu au bado uko mkoani unalima, Dar imeendelea katika kipindi cha miaka 10 iliyopita picha zinajinonesha.