Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Sio kweli, kila mtu angekuwa anapandisha tozo ya 6% or less kila mwaka kwa kisingizio cha 'kulinda thamani ya fedha' maisha yangekuwa magumu sana.

Wakati nasoma chuo ada ilikua 1,500,000 kwa mwaka. Leo hii miaka karibu kumi mbele ada ni ileile 1,500,000 na ndiyo mnufaika mpya analipiwa hiyo na bodi.

Sasa kwanini bodi itake mimi nirudishe 1,700,000 wakati kiasi anachopewa mwanafunzi mpya ni kilekile nilichopewa mimi miaka kumi iliyopita?

Plus, HESLB haikuanzishwa kufanya biashara.
Aliyepeleka wazo la VRF Kama bado yupo kazini ni kosa kubwa Sana uyo jamaa anatakiwa afukuzwe kazi Mara moja sio mzalendo
 
Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? Aiseee
Nasikitika Sana kuona Kuna watu Kama wewe kwenye Taifa langu . stupid
 
Kama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.

Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa

Kwa sasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya mikopo (olas.heslb.go.tz ) utaona kuwa wameondoa tozo zote za VRF, yaani hata zile walizotoza zamani (kabla ya agizo la rais) wameziondoa

Wanufaika wa mikopo tunamshukuru sana Mheshimiwa rais kwa kusikia na kuyafanyia kazi maombi yetu. Tulilalamika sana wakati wa mwendazake lakini tukajibiwa kuwa 'hapangiwi'.

Sasa ni muda wa kila mnufaika mwenye uwezo wa kulipa na alipe, tena wamerahisisha unaweza kulipa hata kwa M-pesa na malipo yako yanaonekana hapohapo kwenye mfumo.

Pia niwakumbushe wadau, twendeni vizuri na mama, naiona katiba mpya hususani wakati wa ungwe yake ya pili Mungu akimjaalia na wananchi wakampa ridhaa.

---- update----
Wadau wengi wameuliza namna ya kuangalia, naamini bodi watatoa maelekezo zaidi lakini kwa hapo ngoja nieleze kwa ufupi.

Ingia kwenye website

View attachment 1830801


Kwenye dashboard (juu kushoto) chagua loan repayment
View attachment 1830804

Kisha baada ya apo, chagua beneficiary/lonee/ employee login

View attachment 1830805

Baada ya hapo ingiza namba yako ya form four kwa format inayo onekana

View attachment 1830806

System itaiangalia namba hiyo kwenye database ya bodi na kukuketea jina lako mnufaika.

Baada ya hapo utathibitisha kuwa ni jina lako kweli kwa ku click hilo jina.

Baada ya hapo utajaza taarifa muhimu kama namba ya simu, email na taarifa za mwajiri pamoja na kutengeneza password.

Ukikamilisha utakua umeshatengeneza account kwenye mfumo wao

Baada ya hapo uta log in as registered user na utaona taarifa zako zote za deni lako. Pia utaona control namba unayoweza kuitumia kulipa mwenyewe.

Natumaini inaeleweka.
NB sijaweka picha za hatua za mwisho kwakua zinaonesha taarifa binafsi za mnufaika.
Usipompata msikivu inakuwaje?
Tutafute suluhisho la kudumu
 
Hatimaye nimefanikiwa kuona taarifa zangu bodi.

Siamini kile ninachokiona, je ndicho hicho hicho au system ya bodi itabadilika na kuwa kama zamani? Ila kama ndivyo kilivyo basi mama President hongera yake kwenye hili la bodi, mana deni langu limepungua milion 4. Ile VRF na penati vilikuwa ni hatari sana.

Huu ndiye rais msikivu. Huko Morogoro napo kaahidi maji nchi nzima. Haya ndo maendeleo ya watu.

Mama akienda vizuri atapata kura tu. Asiogipe kuleta katiba mpya, kwa sababu ni lazima atashinda tu. Ni msikivu mnoo na anazingatia logic mnooo.
 
Unamshukuru Samia badala ya kushukuru mifumo na taasisi zinazohusika?WTF!!!Tatizo la Watanzania wengi kuwa na akili fupi namna hii ni nini?Ni elimu hamna?Ni elimu duni?Ni syllabus zetu?
Hee..hili jamaa vipi? Kwani bodi wamefuata amri ya nani? C ya rais aliesema waifute..hiyo mifumo haikuwepo kabla ya samia au? Nazani wewe ndo mwenye shida kwenye bichwa lako hilo
 
Hee..hili jamaa vipi? Kwani bodi wamefuata amri ya nani? C ya rais aliesema waifute..hiyo mifumo haikuwepo kabla ya samia au? Nazani wewe ndo mwenye shida kwenye bichwa lako hilo
Kwa nini ushukuru kwa kupewa haki yako?Kwanza unaelewa kuwa haki huwa haiombwi wala kutolewa bure bali huchukuliwa?Kwa nini umshukuru Rais kwa kutimiza wajibu wake?Yaani umwajiri Rais ambae unamlipa mshahara kwa kukufanyia kazi kadhaa wa kadha kisha akishafanya hizo kazi unamshukuru wakati tayari ni wajibu wake!Akili za wapi hizi!!!
 
Kama tunavyojua, kwa mujiba wa katiba yetu Mheshimiwa Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote yule.

Hivyo basi tunapokuwa na rais msikivu tena anayefanyia kazi maoni na malalamiko ya watu wake ni baraka kubwa kwa taifa

Kwa sasa ukiangalia statement ya deni lako kwenye mfumo wa bodi ya mikopo (olas.heslb.go.tz ) utaona kuwa wameondoa tozo zote za VRF, yaani hata zile walizotoza zamani (kabla ya agizo la rais) wameziondoa

Wanufaika wa mikopo tunamshukuru sana Mheshimiwa rais kwa kusikia na kuyafanyia kazi maombi yetu. Tulilalamika sana wakati wa mwendazake lakini tukajibiwa kuwa 'hapangiwi'.

Sasa ni muda wa kila mnufaika mwenye uwezo wa kulipa na alipe, tena wamerahisisha unaweza kulipa hata kwa M-pesa na malipo yako yanaonekana hapohapo kwenye mfumo.

Pia niwakumbushe wadau, twendeni vizuri na mama, naiona katiba mpya hususani wakati wa ungwe yake ya pili Mungu akimjaalia na wananchi wakampa ridhaa.

---- update----
Wadau wengi wameuliza namna ya kuangalia, naamini bodi watatoa maelekezo zaidi lakini kwa hapo ngoja nieleze kwa ufupi.

Ingia kwenye website

View attachment 1830801


Kwenye dashboard (juu kushoto) chagua loan repayment
View attachment 1830804

Kisha baada ya apo, chagua beneficiary/lonee/ employee login

View attachment 1830805

Baada ya hapo ingiza namba yako ya form four kwa format inayo onekana

View attachment 1830806

System itaiangalia namba hiyo kwenye database ya bodi na kukuketea jina lako mnufaika.

Baada ya hapo utathibitisha kuwa ni jina lako kweli kwa ku click hilo jina.

Baada ya hapo utajaza taarifa muhimu kama namba ya simu, email na taarifa za mwajiri pamoja na kutengeneza password.

Ukikamilisha utakua umeshatengeneza account kwenye mfumo wao

Baada ya hapo uta log in as registered user na utaona taarifa zako zote za deni lako. Pia utaona control namba unayoweza kuitumia kulipa mwenyewe.

Natumaini inaeleweka.
NB sijaweka picha za hatua za mwisho kwakua zinaonesha taarifa binafsi za mnufaika.

Mkuu kila nikiingiza FORM FOUR index namba yangu inaniletea “ Incorrect Index Number Format”….Nikienda kwenye advanced search by names kwenye vyuo/taasisi vilivyopo ni vya Tanzania tu hakuna vyuo vya nje.

Advise please? Au system ina cut-off ya miaka kwa waliomaliza zamani kidogo haitambui? Mimi nimemaliza form four mwaka 2002.
 
Hij total charge amount wametumia formula gani kuipata mbona zinatofautiana Sana ?
Hata mimi niliuliza hilo swali hakuna aliejibu hata Bodi (HESLB) yenyewe nimewapelekea malalamiko jawajanijibu. Ukiangalia vizuri utagundua hapo kwenye hiyo Total charges amount hazifanani mfn mimi nina deni dogo ukilinganisha na wenzangu ila hiyo Total charges amount ni kubwa ukilinganisha na hao wenzangu.
 
Hivi ukiingiza namba ya form four unafanyaje kwenda hatua inayofuata?
Screenshot_20210709-072512.jpg
 
Hata mimi niliuliza hilo swali hakuna aliejibu hata Bodi (HESLB) yenyewe nimewapelekea malalamiko jawajanijibu. Ukiangalia vizuri utagundua hapo kwenye hiyo Total charges amount hazifanani mfn mimi nina deni dogo ukilinganisha na wenzangu ila hiyo Total charges amount ni kubwa ukilinganisha na hao wenzangu.
Ile Total charges ina vitu viwili
1. Administration fees 10%
2. VRF repaid before 1st May.
Mfano mimi na wewe tumekopa milioni 10.
Mimi nikaanza kukatwa January 2021.
Nitalipa VRF miezi minne (Jan,Feb,mar,April)
Wewe ukaanza kukatwa April, utalipa VRF mwezi mmoja tu.
Hapo lazima total charges zitofautiane. Kadri tulivyoanza kukatwa mapema ndivyo deni la total charges linakuwa kubwa.
 
Mkuu kila nikiingiza FORM FOUR index namba yangu inaniletea “ Incorrect Index Number Format”….Nikienda kwenye advanced search by names kwenye vyuo/taasisi vilivyopo ni vya Tanzania tu hakuna vyuo vya nje.

Advise please? Au system ina cut-off ya miaka kwa waliomaliza zamani kidogo haitambui? Mimi nimemaliza form four mwaka 2002.
Nenda pale forgot index then fuata maelekezo watakutengenezea nyingine
 
Back
Top Bottom