Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,095
- 2,429
Binafsi naona msemaji aliyekuwa smart alikuwa Ezekiel Kamwaga. Huyu alikuwa professional hasa. Anajielewa na anaelewa Taaluma yake na hadhi ya Club aliyokuwa anaisemea..
Ahmed Ally nlitegemea angekuwa na cha kujifunza katika hilo. Kuwa msemaji wa kisasa mwenye weledi. Ameeenda kuangukia kwenye kundi lile lile la msemaji wa ovyo ovyo kama Manara ambaye sisi wengine tulikuwa tunamkataa toka akiwa Simba.
Tabia za kuinanga Yanga ni za Kipuuzi. Zinachochea Uadui na hazikuzi mpira wetu Kimataifa. Ndo maana unaona team ya Taifa ipo Hoi. Sababu tunapoteza sana katika Usimba na Uyanga.
Ali Kamwe alikuwa na akili alipoenda kuwa msemaji wa Yanga akili akazitoa na kubaki alivyo sasa. Mi nadhani Simba ilipaswa iache kujilinganisha na Yanga. Simba ilipaswa ijiangalie yenye na Clubs nyingine kubwa za Afrika.
Iachane na kushindana na Yanga. Ibaki kushindana na teams kubwa. Yanga ni team kama teams nyingine katika Ligi. Kujilinganisha na Yanga ni kuonesha bado Simba haijakua. Ina utoto ule ule wa miaka na miaka. Haitasaidia Club.
Yanga ikigundua kuwa nayo inapaswa i move toka hapo ilipo iangalie mbali...itabadilika. na teams nyingine pia zitaacha kukamia Simba na Yanga tu. Zitakamia Ligi nzima. Ili zikacheze mashindano Makubwa. Hivyo mpira wetu utakuwa. Team ya Taifa itakuwa imara.
Ahmed Ally. Ana Elimu bila shaka tofauti na Haji Manara ambaye hana Elimu. Afanye kwa namna ambayo tutaona tofauti ya watu hawa wawili. Simba hawana haja ya kuwa na mtu wa Kuinanga Yanga. Wa nini?Simba inahitaji mtu ambaye atakuwa daraja la Wapenzi na Uongozi na Wachezaji.
Maisha ya kunangana ni utoto na uswahili. Inawezekana kuna wanaopenda lakini pia tupo sisi hatuoni faida zaidi ya upuuzi na kujenga chuki kwa hizi teams mbili.
Ahmed Ally nlitegemea angekuwa na cha kujifunza katika hilo. Kuwa msemaji wa kisasa mwenye weledi. Ameeenda kuangukia kwenye kundi lile lile la msemaji wa ovyo ovyo kama Manara ambaye sisi wengine tulikuwa tunamkataa toka akiwa Simba.
Tabia za kuinanga Yanga ni za Kipuuzi. Zinachochea Uadui na hazikuzi mpira wetu Kimataifa. Ndo maana unaona team ya Taifa ipo Hoi. Sababu tunapoteza sana katika Usimba na Uyanga.
Ali Kamwe alikuwa na akili alipoenda kuwa msemaji wa Yanga akili akazitoa na kubaki alivyo sasa. Mi nadhani Simba ilipaswa iache kujilinganisha na Yanga. Simba ilipaswa ijiangalie yenye na Clubs nyingine kubwa za Afrika.
Iachane na kushindana na Yanga. Ibaki kushindana na teams kubwa. Yanga ni team kama teams nyingine katika Ligi. Kujilinganisha na Yanga ni kuonesha bado Simba haijakua. Ina utoto ule ule wa miaka na miaka. Haitasaidia Club.
Yanga ikigundua kuwa nayo inapaswa i move toka hapo ilipo iangalie mbali...itabadilika. na teams nyingine pia zitaacha kukamia Simba na Yanga tu. Zitakamia Ligi nzima. Ili zikacheze mashindano Makubwa. Hivyo mpira wetu utakuwa. Team ya Taifa itakuwa imara.
Ahmed Ally. Ana Elimu bila shaka tofauti na Haji Manara ambaye hana Elimu. Afanye kwa namna ambayo tutaona tofauti ya watu hawa wawili. Simba hawana haja ya kuwa na mtu wa Kuinanga Yanga. Wa nini?Simba inahitaji mtu ambaye atakuwa daraja la Wapenzi na Uongozi na Wachezaji.
Maisha ya kunangana ni utoto na uswahili. Inawezekana kuna wanaopenda lakini pia tupo sisi hatuoni faida zaidi ya upuuzi na kujenga chuki kwa hizi teams mbili.