Ahmed Ally bado ana Utoto, Usemaji wa Kipuuzi ambao si Level ya Simba

Sodoku

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,095
2,429
Binafsi naona msemaji aliyekuwa smart alikuwa Ezekiel Kamwaga. Huyu alikuwa professional hasa. Anajielewa na anaelewa Taaluma yake na hadhi ya Club aliyokuwa anaisemea..

Ahmed Ally nlitegemea angekuwa na cha kujifunza katika hilo. Kuwa msemaji wa kisasa mwenye weledi. Ameeenda kuangukia kwenye kundi lile lile la msemaji wa ovyo ovyo kama Manara ambaye sisi wengine tulikuwa tunamkataa toka akiwa Simba.

Tabia za kuinanga Yanga ni za Kipuuzi. Zinachochea Uadui na hazikuzi mpira wetu Kimataifa. Ndo maana unaona team ya Taifa ipo Hoi. Sababu tunapoteza sana katika Usimba na Uyanga.

Ali Kamwe alikuwa na akili alipoenda kuwa msemaji wa Yanga akili akazitoa na kubaki alivyo sasa. Mi nadhani Simba ilipaswa iache kujilinganisha na Yanga. Simba ilipaswa ijiangalie yenye na Clubs nyingine kubwa za Afrika.

Iachane na kushindana na Yanga. Ibaki kushindana na teams kubwa. Yanga ni team kama teams nyingine katika Ligi. Kujilinganisha na Yanga ni kuonesha bado Simba haijakua. Ina utoto ule ule wa miaka na miaka. Haitasaidia Club.

Yanga ikigundua kuwa nayo inapaswa i move toka hapo ilipo iangalie mbali...itabadilika. na teams nyingine pia zitaacha kukamia Simba na Yanga tu. Zitakamia Ligi nzima. Ili zikacheze mashindano Makubwa. Hivyo mpira wetu utakuwa. Team ya Taifa itakuwa imara.

Ahmed Ally. Ana Elimu bila shaka tofauti na Haji Manara ambaye hana Elimu. Afanye kwa namna ambayo tutaona tofauti ya watu hawa wawili. Simba hawana haja ya kuwa na mtu wa Kuinanga Yanga. Wa nini?Simba inahitaji mtu ambaye atakuwa daraja la Wapenzi na Uongozi na Wachezaji.

Maisha ya kunangana ni utoto na uswahili. Inawezekana kuna wanaopenda lakini pia tupo sisi hatuoni faida zaidi ya upuuzi na kujenga chuki kwa hizi teams mbili.
 
Pole sana mkuu umeandika kwa Huzuni nyingi.

Mimi ni Simba Lia Lia.

Huyu kijana anatafuta Tension, umaarufu, usimba kindaki ndaki, unazi nk.

Sishangai kufanya Hivi ndio utamaduni wa vilabu vya Simba na. Yanga, Lazima umcharule mpinzani, umseme, umkomoe nk.

Hawawezi KUSIMAMA kwenye mosingi ya weledi wamejaa kunangana.

Mashabiki wa vilabu Hivi masikini ndio Huwa wanapenda sana kunangana kuliko weledi.
 
Mpira wetu umetengenezwa kwenye utani fulani hasa kwa Simba na Yanga......kama ndiyo unaanza leo kufuatilia lazima upate shida sana.....ila hata aje Malaika awe Simba or Yanga, hawezi kuisemea timu moja bila kuitaja nyingine ni ngumu
 
Pole sana mkuu umeandika kwa Huzuni nyingi.

Mimi ni Simba Lia Lia.

Huyu kijana anatafuta Tension, umaarufu, usimba kindaki ndaki, unazi nk.

Sishangai kufanya Hivi ndio utamaduni wa vilabu vya Simba na. Yanga, Lazima umcharule mpinzani, umseme, umkomoe nk.


Hawawezi KUSIMAMA kwenye mosingi ya weledi wamejaa kunangana.

Mashabiki wa vilabu Hivi masikini ndio Huwa wanapenda sana kunangana kuliko weledi.
Ukosefu wa Elimu... Wanaendesha clubs zao kitoto sana. Mimi sikumpenda Manara akiwa Simba. Nimemchukia zaidi akiwa kwetu Yanga. Naona kama Simba wamemwaga Uchafu nje sisi tumeenda kuzoa kuleta chumbani.
 
Mpira wetu umetengenezwa kwenye utani fulani hasa kwa Simba na Yanga......kama ndiyo unaanza leo kufuatilia lazima upate shida sana.....ila hata aje Malaika awe Simba or Yanga, hawezi kuisemea timu moja bila kuitaja nyingine ni ngumu
Inawezekana ni kawa si mwenyeji sana kuipenda Simba. Maana binafsi naipenda Simba toka mwaka 1990. Si miaka mingi sana. Na ndo maana nikagundua toka kipindi hicho mpaka sasa uendeshaji huo haujaleta tija wa clubs hizi. So they have to change.
 
Binafsi naona msemaji aliyekuwa smart alikuwa Ezekiel Kamwaga. Huyu alikuwa professional hasa. Anajielewa na anaelewa Taaluma yake na hadhi ya Club aliyokuwa anaisemea..

Ahmed Ally nlitegemea angekuwa na cha kujifunza katika hilo. Kuwa msemaji wa kisasa mwenye weledi.ameeenda kuangukia kwenye kundi lile lile la msemaji wa hovyo hovyo kama manara ambaye sisi wengine tulikuwa tunamkataa toka akiwa Simba.

Tabia za kuinanga Yanga ni za Kipuuzi. Zinachochea Uadui na hazikuzi mpira wetu Kimataifa. Ndo maana unaona team ya Taifa ipo Hoi. Sababu tunapoteza sana katika Usimba na Uyanga.

Ali Kamwe alikuwa na akili alipoenda kuwa msemaji wa Yanga akili akazitoa na kubaki alivyo sasa. Mi nadhani Simba ilipaswa iache kujilinganisha na Yanga. Simba ilipaswa ijiangalie yenye na Clubs nyingine kubwa za Afrika.

Iachane na kushindana na Yanga. Ibaki kushindana na teams kubwa. Yanga ni team kama teams nyingine katika Ligi. Kujilinganisha na Yanga ni kuonesha bado Simba haijakua. Ina utoto ule ule wa miaka na miaka. Haitasaidia Club.

Yanga ikigundua kuwa nayo inapaswa i move toka hapo ilipo iangalie mbali...itabadilika. na teams nyingine pia zitaacha kukamia Simba na Yanga tu. Zitakamia Ligi nzima. Ili zikacheze mashindano Makubwa. Hivyo mpira wetu utakuwa. Team ya Taifa itakuwa imara.

Ahmed Ally. Ana Elimu bila shaka tofauti na Haji Manara ambaye hana Elimu. Afanye kwa namna ambayo tutaona tofauti ya watu hawa wawili. Simba hawana haja ya kuwa na mtu wa Kuinanga Yanga. Wa nini?Simba inahitaji mtu ambaye atakuwa daraja la Wapenzi na Uongozi na Wachezaji.

Maisha ya kunangana ni utoto na uswahili. Inawezekana kuna wanaopenda lakini pia tupo sisi hatuoni faida zaidi ya upuuzi na kujenga chuki kwa hizi teams mbili.
Club Africain ameanza kuwachanganya
 
Huyu jamaa atakuwa ametumwa...aisee kuna Uzi humu umeanzishwa Ahmed Ally semaji la CAF ..sisi wanasimba tunamuelewa na hakuna tunachomdai..ameitendea haki kazi yake.
Uelewa unatofautiana. Ni ninyi pia mlikuwa wafuasi wa Haji. Kipindi kile pia mlikuwa hivi hivi. Sishangai.
 
Shida ya Ahmed ni mswahili, kwangu wasemaji walikuwa dis 10 na kamwaga hawa wengine mi naona ni takataka tu
Binafsi naona msemaji aliyekuwa smart alikuwa Ezekiel Kamwaga. Huyu alikuwa professional hasa. Anajielewa na anaelewa Taaluma yake na hadhi ya Club aliyokuwa anaisemea..

Ahmed Ally nlitegemea angekuwa na cha kujifunza katika hilo. Kuwa msemaji wa kisasa mwenye weledi.ameeenda kuangukia kwenye kundi lile lile la msemaji wa hovyo hovyo kama manara ambaye sisi wengine tulikuwa tunamkataa toka akiwa Simba.

Tabia za kuinanga Yanga ni za Kipuuzi. Zinachochea Uadui na hazikuzi mpira wetu Kimataifa. Ndo maana unaona team ya Taifa ipo Hoi. Sababu tunapoteza sana katika Usimba na Uyanga.

Ali Kamwe alikuwa na akili alipoenda kuwa msemaji wa Yanga akili akazitoa na kubaki alivyo sasa. Mi nadhani Simba ilipaswa iache kujilinganisha na Yanga. Simba ilipaswa ijiangalie yenye na Clubs nyingine kubwa za Afrika.

Iachane na kushindana na Yanga. Ibaki kushindana na teams kubwa. Yanga ni team kama teams nyingine katika Ligi. Kujilinganisha na Yanga ni kuonesha bado Simba haijakua. Ina utoto ule ule wa miaka na miaka. Haitasaidia Club.

Yanga ikigundua kuwa nayo inapaswa i move toka hapo ilipo iangalie mbali...itabadilika. na teams nyingine pia zitaacha kukamia Simba na Yanga tu. Zitakamia Ligi nzima. Ili zikacheze mashindano Makubwa. Hivyo mpira wetu utakuwa. Team ya Taifa itakuwa imara.

Ahmed Ally. Ana Elimu bila shaka tofauti na Haji Manara ambaye hana Elimu. Afanye kwa namna ambayo tutaona tofauti ya watu hawa wawili. Simba hawana haja ya kuwa na mtu wa Kuinanga Yanga. Wa nini?Simba inahitaji mtu ambaye atakuwa daraja la Wapenzi na Uongozi na Wachezaji.

Maisha ya kunangana ni utoto na uswahili. Inawezekana kuna wanaopenda lakini pia tupo sisi hatuoni faida zaidi ya upuuzi na kujenga chuki kwa hizi teams mbili.
 
Aisee, huu Uzi umenifungua.....Kumbe Wapo Wanaopenda Wasemaji Wa hizi Timu Wabakie Kusimamia Weledi katika utendaji Wao Wa Kazi..!

Hawa Vijana Wawili Ally Kamwe na Ahmed Ally nawaona Kbs Wanaweza Kusimamia Weledi..!

Ila Yule Msukule huwa analiamsha Sasa hapo ni Lzm Watu Wajibu Mapigo..!

Ngoja tuone!
 
Aisee, huu Uzi umenifungua.....Kumbe Wapo Wanaopenda Wasemaji Wa hizi Timu Wabakie Kusimamia Weledi katika utendaji Wao Wa Kazi..!

Hawa Vijana Wawili Ally James na Ahmed Ally nawaona Kbs Wanaweza Kusimamia Weledi..!

Ila Yule Msukule huwa analiamsha Sasa hapo ni Lzm Watu Wajibu Mapigo..!

Ngoja tuone!
Mkuu... Ukiwa umependeza unapita barabarani ukakutana na chizi akaanza kukumwagia mchanga au matope. Utabaki umesimama ,utarudishiana naye au utakimbia uachane naye?
 
Barbara ni very smart upstairs. Very smart. Sema bado amezungukwa na waswahili ambao hawataki mabadiliko kamili kwa Club. Na hawa ndo wanamkwamisha makusudi.
Sahihi kabisa mkuu. Ulichoandika katika andiko lako kuu ninaliunga mkono kwa 100%. Simba is a frequent participant in international competitions, hivyo anahitaji msemaji smart kwa maana akiongea yeye mpaka vilabu vikubwa vya Misri na Algeria vinafuatilia.
 
Binafsi naona msemaji aliyekuwa smart alikuwa Ezekiel Kamwaga. Huyu alikuwa professional hasa. Anajielewa na anaelewa Taaluma yake na hadhi ya Club aliyokuwa anaisemea..

Ahmed Ally nlitegemea angekuwa na cha kujifunza katika hilo. Kuwa msemaji wa kisasa mwenye weledi.ameeenda kuangukia kwenye kundi lile lile la msemaji wa hovyo hovyo kama manara ambaye sisi wengine tulikuwa tunamkataa toka akiwa Simba.

Tabia za kuinanga Yanga ni za Kipuuzi. Zinachochea Uadui na hazikuzi mpira wetu Kimataifa. Ndo maana unaona team ya Taifa ipo Hoi. Sababu tunapoteza sana katika Usimba na Uyanga.

Ali Kamwe alikuwa na akili alipoenda kuwa msemaji wa Yanga akili akazitoa na kubaki alivyo sasa. Mi nadhani Simba ilipaswa iache kujilinganisha na Yanga. Simba ilipaswa ijiangalie yenye na Clubs nyingine kubwa za Afrika.

Iachane na kushindana na Yanga. Ibaki kushindana na teams kubwa. Yanga ni team kama teams nyingine katika Ligi. Kujilinganisha na Yanga ni kuonesha bado Simba haijakua. Ina utoto ule ule wa miaka na miaka. Haitasaidia Club.

Yanga ikigundua kuwa nayo inapaswa i move toka hapo ilipo iangalie mbali...itabadilika. na teams nyingine pia zitaacha kukamia Simba na Yanga tu. Zitakamia Ligi nzima. Ili zikacheze mashindano Makubwa. Hivyo mpira wetu utakuwa. Team ya Taifa itakuwa imara.

Ahmed Ally. Ana Elimu bila shaka tofauti na Haji Manara ambaye hana Elimu. Afanye kwa namna ambayo tutaona tofauti ya watu hawa wawili. Simba hawana haja ya kuwa na mtu wa Kuinanga Yanga. Wa nini?Simba inahitaji mtu ambaye atakuwa daraja la Wapenzi na Uongozi na Wachezaji.

Maisha ya kunangana ni utoto na uswahili. Inawezekana kuna wanaopenda lakini pia tupo sisi hatuoni faida zaidi ya upuuzi na kujenga chuki kwa hizi teams mbili.

Ukweli mtupu Kiongozi,binafsi nilikuwa nashangaa Inamaana huyu mtu ameajiriwa kwa ajili ya kutupa madongo na umbea kwa Yanga!mpira wa kisasa inatakiwa adui yako umpende ili apate la kujifunza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom