mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
kauli hii aliwahi kuitoa mheshimiwa
mkinichagua nitaunganisha mikoa ya ruvuma na kigoma katika gridi ya taifa kabla ya 2010.jakaya kikwete ijumaa septemba 16,2005 uwanja wa lake tanganyika kigoma. '''''''''