kmp
Member
- Jun 18, 2009
- 39
- 0
Huo mshahara wa kinyemela wa wapi huo? Au ni allowance za muda, au ni rushwa ?
Nakubaliana na wewe Mfamaji, kama ni kweli wameongeza basi hawa CCM na viongozi wake wanatoa rushwa kwa wafanyakazi. TAKUKURU mko wapi, mnaangalia watu wanatoa rushwa wazi wazi, tafadhali Dr. Hosea na timu yako tunawaomba mchunguze hili kwani hii ni rushwa kwa sababu mkuu wa kaya alishakataa ongezeko hilo.Iweje sasa????:frusty: