Mkuu nasita kukuunga mkono kama anavyosita Mgaya kwasababu kwanza hatujui Chadema watayashughulikia vp matatizo ya wafanyakazi (isije umeruka mkojo ukakanyaga mabaya zaidi) Pia madai mengine ya TUCTA yanahusiana na mfumo mbovu ya marupurupu na posho zisizokuwa na maana wanazolipwa wakuu serikalini ambazo zinaipa mzigo mkubwa serikali. Pia kodi kubwa wanayokatwa na serikali wafanyakazi Tanzania. Sasa kama hakuna la kueleweka Chadema ni afadhali mie nisipe kura kabisa ili nifurahi roho yangu na familia yangu na washkaji zangu. Kwani tutasema si mmechagua nyie serikali hivyo tustahamili but sie hatukuwapigia kura as simple as that.
Point noted...........Vyama vya upinzani inabidi wajiandae kulezea watafanyaje kui-improve maisha ya wafanyakazi.................however,
Mkuu kampeni hazijaanza................kuwashurutisha vyama vya upinzani kuwa watafanyeje kwenye maslahi ya wafanyakazi ni sawa na kuwapa silaha CCM.............